Mama Princess

Mama Princess

Kweli mkuu Mentor unajua kusimulia.

jukwaa hili limesheheni wataalamu wa kusimulia Mentor jana nimeweka like ila sikuwa nimesoma the whole thing, big up mkuu kwa kujaaliwa hiki kipaji.

Ila kuna mahali umesema humwelewagi mwanaume anayempiga mkewe. Mkuu kuna mazingira unastukia umeishafanya hivyo japo hupendi, we shukuru Mungu kama hujawahi shuhudia mazingira ya hivyo. We differ in how we handle our temper bro
 
Last edited by a moderator:
ahahah...umeifanya kama joke na mm nipo siriaz ujue!

Btw una shida inayohitaji kuhurumiwa!?? Cc: Kaizer

Ha ha ha ha hapana kwa kweli,shida yangu tayari ishapata utatuzi ingawa haifanani na hiyo ya mama mkweeee wako{mama Princess}.Nashukuru baba kwa huruma yako,na uendelee na moyo huo huo wa huruma Kaizer Mentor
 
Last edited by a moderator:
Doing somebody's wife i can try to understand your reasons ila Kumbemenda Mtoto (Ofcourse im old school! Call it uswahili or whatever but this is our culture, customs and taboos), wa mwenzio that is dispikable!


hiyo kitu kubemenda hai-exist wewe............
 
Last edited by a moderator:
huyo mama princess hamna kitu kichwani,,,,,,,,,,,kisa cha kufunguka na kuonesha picha ndiyo nini?
 
:tape::confused3::rolleyez::rolleyez::behindsofa::behindsofa::car::busu😛ray2::amen::amen::amen::amen:

Ha ha ha ha jitokeze tu.........mambo gani kujificha jicho moja huku lingine linachungulia.Mambo yakukaa nyuma ya kochi vp?????????????
 
R.I.P ndugu yangu Mentor .. Kama ukipata bahati ya kumwagiwa tindikali basi ntakuja kukujulia hali utakapokuwepo. Ila kama itakuwa kinyume na hapo ntakuwepo msibani ila hakikisha Mama J unamkabidhi kwangu..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom