Mkuu nashukuru kwa kunitambua...faili la miss strong ninalo
jukwaa hili limesheheni wataalamu wa kusimulia Mentor jana nimeweka like ila sikuwa nimesoma the whole thing, big up mkuu kwa kujaaliwa hiki kipaji.
Ila kuna mahali umesema humwelewagi mwanaume anayempiga mkewe. Mkuu kuna mazingira unastukia umeishafanya hivyo japo hupendi, we shukuru Mungu kama hujawahi shuhudia mazingira ya hivyo. We differ in how we handle our temper bro
Hili jukwaa linakufaa sana kuliko kule darajani,
huyo mama princess hamna kitu kichwani,,,,,,,,,,,kisa cha kufunguka na kuonesha picha ndiyo nini?
hahahahaha kuna mkono wa mtu,mbona imetokea thatha
R.I.P ndugu yangu Mentor .. Kama ukipata bahati ya kumwagiwa tindikali basi ntakuja kukujulia hali utakapokuwepo. Ila kama itakuwa kinyume na hapo ntakuwepo msibani ila hakikisha Mama J unamkabidhi kwangu..
hahaha Ruttashobolwa tangu alipokamatwa na Passion Lady kwisha habari yake hana muda tena wa kupitia mafaili hasa ya warembo miss strong
hebu njoo nikunong'oneze kitu kwanza
Eben-ezeri, hata sasa Bwana anatusaidia.
Story nzuri yenye dhana mbaya na fundisho zuri!
Ahaha kaka Nicas Mtei..mbona kukimbilia shemeji yako! najua wachaga hatuna hiyo mila ya kurithiana mbona!!!!
safi sana kijana wangu Mentor...hivi mbona hukuniPM kwamba umetupia kitu? what a nice story.
Baada ya kuseam hayo, nami kama Kongosho nilipumua baada ya kuona disclaimer, maana nikikumbuka Verossa mmh
Paloma na Mr Rocky, Mentor amesema anakunywa maji ya kisima chake mwenyewe
isitoshe jamaa hajamwoa huyo mama Princesss na yeye anaibia tu..sema yeye ana upper hand lakini kisheria bana hawezi kumshinda Mentor, so akimfukuza atakuwa amepoteza haki zake zote
Nyie mnaomtisha eti sijui tindikali mara KY, kwani ZIMBABWE havipo ivo vitu
Elizabeth Dominic please call me ASAP!
Kaka Kaizer nilikuwa simuni sijaona hii kitu hili ombi la kupiga limeexpire?