Unatoa kitabu lini?
Juzi Baba Prince alikuja kununua tindikali hapa dukani kwangu
ngoja amu home shopping Mentor la sivyo akae huko huko Zimbabwe.......
Lol what a shame,,..wewe ni zaid ya mentor
Doing somebody's wife i can try to understand your reasons ila Kumbemenda Mtoto (Ofcourse im old school! Call it uswahili or whatever but this is our culture, customs and taboos), wa mwenzio that is dispikable!
hukuona vizuri sio tindikali ni ky jelly
Ama kweli vya uwizi vitamu!! Nakushauri Mentor kaa mbali na mke wa mtu maana utatolewa roho kweli.
Mentor hama mji hadi hali itulie
Halafu hujisikii vibaya Ma Princess kadundwa sababu yako?
Disclaimer kuwa mwanzo, sigh!!!!
mdogo wangu hivi ndivyo tulivyofunzwa kweli??
mm nitakuchapa kwanza kabla sijafikisha kesi kwa baba lolz!!
mwandishi unajipenda kweli wewe?
Mtenda akitendwa hapakaliki hapo......,
Kaah! Sasahivi unaishi kama digidigi, angaliia usije ukaama mji, bila kupenda!!!!!!
Mi nafikiri ni busara ukijisalimisha kwake na kuomba msamaha.
Baada ya hii story...I guess utapata PM za kutosha mkuu
Hongera
mimi49, uasherati nimeacha mkuu..kweli kabisa yani!!!Ni ndefu kwa kweli lakini ina mtiririko mzuri.Kizuri cha mwenzio(usione vyaelea vimeundwa),siku zote kitu ukiwa nacho hukioni thamani yake mpaka ukipoteze..pole yake baba princess na ww unajifanya kimbelembele sana ngoja uje ukatwe miguu sasa!Acha kuendekeza uasherati!
Hebu ngoja awachwe halafu aje kwako na mabegi tuone kama utaipokea hiyo perfect package
Mentor...........you are such a good author! Why do you work on that kipaji?!?!!?
Dah!! Mentor.....One of JF's greatest story tellers...
Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums
Mkunde Original, hebu nikamate mahali kama unaweza!Mmmmhhh!!! Yaani usingesema kama hii ni hadithi na haihusiani na mtu yeyote yule..................... ningekukamata mahali maana.....................
Anyways the story was nice maana wakati nasoma uliiba mawazo yangu yote nikawa naona rela pictures ya ulivokuwa unasimulia. U R A GOOD ARTIST as art is not only writing poems and songs or do drawings.
I think its a story to refresh mind and to learn or remind others and not to advice or warn you as others comment.
Ila to my thinking capacity hii story kwa namna moja au nyingine lazima inahusiana na wewe Mentor au kuna mtu wa karibu ilishampata au kuna mtu recent amekusimulia yaliyomkuta na umeona huwezi msimulia mtu as ni siri na inaonekana amekusihi usimwambie mtu so ukaona uje ulimwage humu jamvini walau upunguze mzigo aliokubebeshs wa kutamani kuyasimulia maneno hayo hivyo ukabadili majina tuu. Pia ulichoelezea kinawatokea watu wengi tuu humu duniani hivyo lazima kuna watu wakisoma wataona kama umewaongelea wao.
Good day!!
Mentor nimeishiwa maneno hapo ukiona maana nashindwa nikuambie urudi au ubadili safari maana mama Princess ukimwacha wakati ushamuonjesha utamu hatakubali na wakati huo Mume nae anakutafuta maana anaona karibu ataachwa
Mentor kuna mawili hapo waweza sema hivyo ila ukifika pale mtaani ukiona gate tuu la mama Princess kuna kitu kitakuambia tuu aahhh kumbuka raha uliyoipata hebu fanya kusahau yote kaonje tenaMimi sitaki kurudia tena kwake mkuu...nataka kunywa kwenye kisima changu mwenyewe!!!!
Mimi sitaki kurudia tena kwake mkuu...nataka kunywa kwenye kisima changu mwenyewe!!!!
Umeshtukiaee...mwanzoni alikuwaga sakapal....sema nliowaomba urafiki wamenkatalia Cc: Evelyn Salt, Smile, Mrembo by Nature, Lady doctor et al..