Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Ha ha ha, yaani mie nina matatizo sana.Sometimes I hate myself kwa kuwa so nosy kimoyomoyo.
Mie kuanza na disclaimer inamaanisha 'hey buddies, today am playing safely but same old sh*t'
Mie kuanza na disclaimer inamaanisha 'hey buddies, today am playing safely but same old sh*t'
safi sana kijana wangu Mentor...hivi mbona hukuniPM kwamba umetupia kitu? what a nice story.
Baada ya kuseam hayo, nami kama Kongosho nilipumua baada ya kuona disclaimer, maana nikikumbuka Verossa mmh
Paloma na Mr Rocky, Mentor amesema anakunywa maji ya kisima chake mwenyewe
isitoshe jamaa hajamwoa huyo mama Princesss na yeye anaibia tu..sema yeye ana upper hand lakini kisheria bana hawezi kumshinda Mentor, so akimfukuza atakuwa amepoteza haki zake zote
Nyie mnaomtisha eti sijui tindikali mara KY, kwani ZIMBABWE havipo ivo vitu
Elizabeth Dominic please call me ASAP!