Mama Ndalichako kakague "Private Schools"

Mama Ndalichako kakague "Private Schools"

Nikiwa mdau wa elimu ninawiwa kuchangia machache:-
1. Shule nyingi za binafsi zina walimu bora na wanaojua wanachokifanya. Maandalizi ya schemes na lesson plans in uhakika maana wenye shule wanamfuatilia mwalimu mwanzo mwisho.
2. Uhaulishaji wa maarifa ni mkubwa kwa kuwa zana na vitabu vinapatikana kwa uhakika. Book student ratio ni 1:1. ( Thanks to us parents who know the importance of text books)
3. Dhana ya kuhonga ili watoto wafaulu haina mashiko yeyote, kwa sababu mbali ya kufaulu PSLE, wanafunzi hao hao ndiyo wanafaulu interview mbali mbali sijui huko nako wamiliki wa shule za English medium wanazunguka private secondary schools zote kuhonga????
Ushauri tuwe na PPP katika elimu na tutaona faida zake. Liberia leo wanafikiria kukabidhi public schools kwa watu binafsi waziendeshe. SISI TUNANG'ANG'ANA KUZIPINGA.
Wewe umezungumza ukweli kabisa, wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye interview kuingia kwenye hayo mashule ya private ni wale wale walitoka huko private, sasa kuna watu wanajidanganya eti shule hizo hazina walimu wenye sifa, hebu jipeleke huko uone kama hao watoto hawajakutoa nishai na degree yako ya BRN
 
Wewe na vyeti vyako vya ualimu.. uwezi kupata kazi feza boys..kwanza uwezo huna ndio maana unalialia upewe ajira na serikali..endelea kulialia waziri akutafutie kazi..

bora umemwambia ukweli, amemaliza 2016 anataka juajiriwa feza, weeeee subutuuuuuuuuu, ni 5 years remarkable experience
 
Kuna shule za Private na Vishule vya private, wewe unaongelea vishule, unakuta mwalimu analipwa laki 5
Nafikiri wangefanya uhakiki shule zote za private ili kubaini watu wasio na sifa sielewi kwa nini watu wana wasiwasi ilihali wanasema private ndio kuna walimu wenye sifa zaidi.
 
Acha ubishi wewe shule zote za binafsi walimu wake ni hawana sifa kabisa. Na kufaulu kwa wanafunzi kunatokana na udanganyifu unaofanywa na wamiliki wa hizo shule na si ubora wa walimu.
Je, walimu wanaofundisha private walisoma vyuo vyao tofauti na walimu walioko serikalini? Mbona tunajiaibisha kwa kujitoa ufahamu as if we no nothing of what is going on in our country? Kama mtu ana-earn just peanuts, unategemea huyu mtu abaki serikalini au amalize chuoni aende serikalini eti kwa sababu tu serikalini kuna security ya kazi? Enyi Watanzania, nani kawaroga? Wewe hujui kwamba watoto wa hao unaowaita wenye dhamana na mamlaka ya Elimu nchini wanasoma shule za binafsi? Kama hawana Elimu inakuwaje watoto wao wako private schools? Utakubalije mtoto wako umkabidhi kwenye mdomo wa simba kama unadhani hayupo katika mazingira salama?
 
ndugu yangu, jamaa yuko sahihi sana.acha jazba.zingine form 6 failure wanafundisha huko.cha msingi ufanyike ukaguzi why worry??
Kwa taarifa yako walimu walio wengi walioko serikalini ndio vilaza maana hawawezi kufundisha. Kama unabisha katika hilo, mwambie Ndalichako afanye ukaguzi wa content deliverance darasani. Walai nakwambia hao unaowaona wazuri watakimbia na wataacha kazi zao.
 
private schools are among the leading institutions employing none citizens with no working permits
So what then? Is it proved that in public sector no none citizens who are working with no work permit?
 
Akimaliza ukaguzi huu aandae sera ya elimu itakayokuwa sawa kwa shule za serikali na binafsi. hivi vishule kila kimoja kina sera zake, kina vitabu vyake, n.k
 
Sikatai kwamba zipo shnule za watu binafsi hasa za makanisa ya Katoliki na Sabato ambazo ni nzuri.Hata hivyo nyingi ya shule za watu binafsi ni za hovyo sana.Shule hizi zina collude na baraza la mitihani ili wanafunzi wao waweze kufaulu sio kwamba kitaaluma wako vizuri.Najua ninacho-ongea kwa kuwa watoto wangu wamesoma kwenye shule za makanisa hayo na pia shule zingine binafsi.Vijana wako vizuri oh body,acha tu.Ila yupo mmoja yuko shule moja pale Morogoro inaitwa YESPA,jamaa hao ni figisu figisu tu.Hata maabara ya kueleweka hawana.Mara mchango ya maabara,mara mchango wa uzio wa shule,utadhani shule ya kwetu.Ada,2,400,000/-.Ina boa sana.
Kama shule za serikali ndizo zinaongoza kwa kufelisha wanafunzi, tuseme kwamba walimu wa public sector hawana sifa za ualimu yaani serikali imechukua bora walimu na si walimu bora?
 
Ni vizuri tu akakague.Ila sifa za ualimu ni nyingi.Sifa kuu ni kuwa na mafunzo ya ualimu.Mafunzo ya ualimu ni kielelezo tosha bila kujali ufaulu ulifikia alama ngapi.Mafunzo humuwezesha mwalimu kumudu vyema majukumu ya kazi.
 
Eti wanafaulu vizuri! Watoto wanafundishwa mitihani.Hawana uelewa wa jinsi ya kuendesha maisha. Wakague ili wenye sifa wapate ajira.
Hivi ndugu yaani umesahau au hujui mfumo wa Elimu yetu kwamba ni Examination Oriented? Kama hivyo ndivyo unategemea nini zaidi ya kufaulu? Watoto wakifeli lawama zinakuwa nyingi, why? It is because of the system of education we have in Tanzania. I believe and that is the reality that even you there you are during your school hood desired a lot to pass your examinations. You are there because of exams, may be something so salient ni kwamba curriculum yetu ibadilike kutoka examination oriented kuwa kitu kingine zaidi ya huu mfumo tulionao. Vinginevyo tutakuwa ni wanafiki waliokubuhu na tutakuwa sawa na kukata tawi la mti uliokalia ukiamini kwamba uko salama. I believe in changes lakini sio katika hypocrisies
 
Kwa kuwa wanafagia na kusafisha shule za serikali waingie na binafsi kuangalia sifa za walimu ili kujiridhisha na elimu zao.Si kila mwenye maarifa ana ujuzi wa kuyatoa kwa wanafunzi.
 
ndugu yangu, jamaa yuko sahihi sana.acha jazba.zingine form 6 failure wanafundisha huko.cha msingi ufanyike ukaguzi why worry??
Mbona vijana wa private school ndio wengi wanafanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa ndugu.
 
Kama shule za serikali ndizo zinaongoza kwa kufelisha wanafunzi, tuseme kwamba walimu wa public sector hawana sifa za ualimu yaani serikali imechukua bora walimu na si walimu bora?
Nadhani kunyoosheana vidole sasa hakutatusaidia sana.Itoshe tu kusema kwamba elimu yetu ina matatizo mengi ikiwa ni pamoja na waalimu wengi wasio na sifa kabisa.Kwa mantiki hiyo serikali inahitaji juhudi za ziada na za makusudi ili kuboresha elimu.
 
Kumekuwa na ukaguzi wa wafanyakazi hewa na madudu mengine wizara ya elimu. Natoa wito kwa Mama Ndalichako kutuma wakaguzi kwenye shule binafsi kikagua aina ya walimu wanaofundisha huko. Hili litaipunguzia serikali mzigo wa kuajiri walimu wote.

Kwa utafiti mdogo niliofanya wanaofundisha hizi shule hawana sifa za ualimu kama taaluma.

Ubaya wa hili ni kwamba wanaendesha mambo kienyeji na hawana ujuzi juu ya vitu vingi vilivyo ndani ya ualimu. Hata kuandika lesson plan au scheme of work hawawezi.

Pia kwa upande mwingine wanabania ajira kwa walimu wa kweli kutoka vyuo vinavyotambulika.

Ni kama itokee mtu aliyesomea uhasibu akafanye kazi ya lawyer, hapa lazima kuwe na mapungufu katika utendaji.

Nawasilisha, najua hili litafika kwa wahusika.
Mkuu unaishi wapi?
 
Mimi nitoe pa kuanzia, Kuna SHULE IPO kata ninayoishi NYARUGUSU- IKO GEITA Inaitwa Mawemeru ENGLISH Medium mkuu WA SHULE kasoma INTERNATIONAL RELATION ni binti. Sasa waliobaki HATA mwenye Certificate ya ualimu hayupo. Mtoa mada yuko sahihi. Kama kunamtu abisha afuatilie alete mrejesho
 
Eti kusomea ualimu sifa ni EES yaani kilaz.a mwenye E 2 umlipe milion.. hao vilaz.a wataendelea kufundisha serikalini shule za kata..
 
Kwani kup
wanachuja kwa wastanu mkubwa.vijana hukariri mno sio kuelewa
Kwani kuwa na maarifa ya kitu/jambo fulani, huwa kunaanza na kukariri kisha kile kitu kikikaa ndio safari ya kukielewa moja kwa moja au kunaanza na kuelewa kisha kunafuata kukikariri? Only in Tanzania. That is why we are unique, our uniqueness cannot be compared to other nations.
 
Back
Top Bottom