Mama Ndalichako kakague "Private Schools"

Mama Ndalichako kakague "Private Schools"

English medium schools ni uozo! Ajabu wazazi hawaoni ni janga kwa watoto wao. Funga English medium schools usajili upya. Walimu huko wengi ni uozo mtupu.
 
Acha ubishi wewe shule zote za binafsi walimu wake ni hawana sifa kabisa. Na kufaulu kwa wanafunzi kunatokana na udanganyifu unaofanywa na wamiliki wa hizo shule na si ubora wa walimu.

Hapo kwenye bold una uhakika ni shule zote za binafsi?, umefanya utafiti wa kutosha kuhakiki hilo tamko lako?
 
Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.

Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Huyu ni chuki binafsi au zile za nitoke vipi!! hivi anajua kama shule zina boards ambazo wazazi ni wahusika wakuu na wenye maamuzi? au anajisemea tu. zinafuatiliwa sana hizi ndio maana viwang vya ufaulu viko juu private schools.. what is scheme of work ? za kukariri
 
Ni kweli lakini pia tunatakiwa kujua kuwa kunawatu wamesomea ualimu lakini hawawezi kufundisha,na muda mwingine wanakuwa vila..za kuliko hata muda aliyesomea ualimu.
 
Mkuu ninachoongea nakijua na nimekiona.
Twambie ni wapi? Kiukweli kama hilo lipo basi mmiliki wa shule hiyo ndo bomu kwa sababu wazazi wanafuata shule yenye walimu wazuri, mwalimu mzuri ni yule anayefundisha mwanafunzi akapata elimu stahiki.
Hapa labda kaongelee kuhusu vibari vya hao walimu kwani najua wengi ni kutoka Kenya na Uganda kwa kigezo kwamba wanajua English.
Jambo jingine .. kuna walimu wengine wana sifa zaidi ya walimu wenyewe kwenye kufundisha masomo fulani. Mfano, ukimchukua mtu aliyesoma Mechanical Engineering ukampatia somo la Physics - hata kama atakuwa hajasomea ualimu - mtu huyu ni mzuri sana kwenye kufundisha kwa sababu anafundisha anachokijua.
Walimu wengi wa sayansi wanafundisha historia ya sayansi, wanafundisha vitu ambavyo hata wao hawajawahi kuvifanyia practical. Ni wazuri kwenye hayo mavitabu yao ya Lesson Plan lakini wanachoki- deliver hawakijui kabusaaa!

Nashukuru sisi tuliosoma zamani kuna vitu tunavielewa lakini wa siku hizi hawajui kabisa. Mfano: niliwauliza walimu wa Math kama wanajua Pai (22/7) au 3.14 - Katika walimu 7 nilokutana nao, ni mmoja tu ndo alisema anajua - ila naye hakufundisha darasani - alijifunza kupitia google ..
 
Twambie ni wapi? Kiukweli kama hilo lipo basi mmiliki wa shule hiyo ndo bomu kwa sababu wazazi wanafuata shule yenye walimu wazuri, mwalimu mzuri ni yule anayefundisha mwanafunzi akapata elimu stahiki.
Hapa labda kaongelee kuhusu vibari vya hao walimu kwani najua wengi ni kutoka Kenya na Uganda kwa kigezo kwamba wanajua English.
Jambo jingine .. kuna walimu wengine wana sifa zaidi ya walimu wenyewe kwenye kufundisha masomo fulani. Mfano, ukimchukua mtu aliyesoma Mechanical Engineering ukampatia somo la Physics - hata kama atakuwa hajasomea ualimu - mtu huyu ni mzuri sana kwenye kufundisha kwa sababu anafundisha anachokijua.
Walimu wengi wa sayansi wanafundisha historia ya sayansi, wanafundisha vitu ambavyo hata wao hawajawahi kuvifanyia practical. Ni wazuri kwenye hayo mavitabu yao ya Lesson Plan lakini wanachoki- deliver hawakijui kabusaaa!

Nashukuru sisi tuliosoma zamani kuna vitu tunavielewa lakini wa siku hizi hawajui kabisa. Mfano: niliwauliza walimu wa Math kama wanajua Pai (22/7) au 3.14 - Katika walimu 7 nilokutana nao, ni mmoja tu ndo alisema anajua - ila naye hakufundisha darasani - alijifunza kupitia google ..
Mkuu hao wanaosoma degree za elimu unadhani wanasomea content ya kufundisha tu. Kuna other courses they have to undergo ili wawe complete teachers ndio maana kuna option ya kusoma PGDE kwa ambao hawajasoma education. Ualimu una vitu vingi zaidi ya kufundisha.
 
Kuna watu wanajiita walimu ila hawastahili kuitwa hivyo, nani aajiri vyeti wakati jitu hata lugha ya kufundishia haijui? Binafsi nimesikia malalamiko ktk usaili wa walimu sehemu fulani, ni aibu kweli mtu amekuja na GPA ya 4 lakini hajui hata kujieleza, unampeleka darasani wanafunzi wanakugomea kabisa kuwa mwalimu hajui kitu na anawapotezea muda wao tu.
Mnatakiwa muelewe kabisa hakuna mmiliki kichaa aache kuajiri walimu wanaohitaji mishahara ya laki 9 tu kama sifa wanazo ahangaike na watu wanaohitaji million 1.5-2..... Vyuo vyetu vimechangia kuzalisha walimu wa kiwango kidogo sana, unategemea nini kama mtu alipata div 4 form 6 halafu akaenda kusomea ualimu? Mtu ana math E eti akawafundishe watu, hapo lazima wazazi na wanafunzi wakugomee
 
Siyo shule tu, vyuo vilivyo chini ya Nacte, ni masikitiko matupu, hivi inaingia akilini mwalimu/mkufunzi anaomba kazi, akipata anaambiwa atafute cha kufundisha mwenyewe!! hawana guide wala chochote, nashauri wakifanya ukaguzi uwe ni ule wa kushitukiza, wawafanyie mahojiano ya kina hao wafundishaji,
 
Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.

Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Yeye hajasema walioko kule hawaelewi na hawsjasoma, bali kamaanisha kuchanganya fani. Kimsingi ndo maana tuna specialization ama tasnia, kazi apewe aliyeisomea full stop. Ina hasara zake lakini faida ni nyingi zaidi kitaalamu. Na kama wewe si mmoja wao ni vigumu kumwelewa mleta mada.
 
ifikie wakati iwepo bodi ya walimu ili kiwe chombo chenye kutambua na kusimamia vigezo na taaluma za wahusika...

itasaidia kuondoa au kupunguza makanjanja.
 
Nikiwa mdau wa elimu ninawiwa kuchangia machache:-
1. Shule nyingi za binafsi zina walimu bora na wanaojua wanachokifanya. Maandalizi ya schemes na lesson plans in uhakika maana wenye shule wanamfuatilia mwalimu mwanzo mwisho.
2. Uhaulishaji wa maarifa ni mkubwa kwa kuwa zana na vitabu vinapatikana kwa uhakika. Book student ratio ni 1:1. ( Thanks to us parents who know the importance of text books)
3. Dhana ya kuhonga ili watoto wafaulu haina mashiko yeyote, kwa sababu mbali ya kufaulu PSLE, wanafunzi hao hao ndiyo wanafaulu interview mbali mbali sijui huko nako wamiliki wa shule za English medium wanazunguka private secondary schools zote kuhonga????
Ushauri tuwe na PPP katika elimu na tutaona faida zake. Liberia leo wanafikiria kukabidhi public schools kwa watu binafsi waziendeshe. SISI TUNANG'ANG'ANA KUZIPINGA.
 
Binafsi siamin kama ili uweze kumfanya mtoto apate badiliko la kitabia ni lazima uwe na uwezo wa kuandaa lesson plan na scheme of work kwani hata walioko shule za serikali hawaandai bali wanachofanya ni kuandaa lesson report vivyo vivyo hata kwa azimio la kazi mpaka waskie wathibiti ubora wanakuja
 
Nikiwa mdau wa elimu ninawiwa kuchangia machache:-
1. Shule nyingi za binafsi zina walimu bora na wanaojua wanachokifanya. Maandalizi ya schemes na lesson plans in uhakika maana wenye shule wanamfuatilia mwalimu mwanzo mwisho.
2. Uhaulishaji wa maarifa ni mkubwa kwa kuwa zana na vitabu vinapatikana kwa uhakika. Book student ratio ni 1:1. ( Thanks to us parents who know the importance of text books)
3. Dhana ya kuhonga ili watoto wafaulu haina mashiko yeyote, kwa sababu mbali ya kufaulu PSLE, wanafunzi hao hao ndiyo wanafaulu interview mbali mbali sijui huko nako wamiliki wa shule za English medium wanazunguka private secondary schools zote kuhonga????
Ushauri tuwe na PPP katika elimu na tutaona faida zake. Liberia leo wanafikiria kukabidhi public schools kwa watu binafsi waziendeshe. SISI TUNANG'ANG'ANA KUZIPINGA.
Kwenye point ya kwanza sio 100% mkuu me mwenyewe ni mdau wa elimu na hili nimeliona kwenye shule zaidi ya 5 hapa DSM. Huko mikoani sijui hali ipo vipi.
 
Usilolijua ni km usiku wa giza,hakuna mmiliki wa shule anayeajiri mwl asiye na kiwango ikiwa mwisho wa siku anataka ufaulu ulio bora,labda huko kwenu pasipo na ushindani wa shule binafsi.BTW halmashauri zilisha agiza walim wa shule za private wakaguliwe na wakuu wao na namba za vyeti vyao vipelekwe kwa ukaguzi zaidi.
 
Acha ubishi wewe shule zote za binafsi walimu wake ni hawana sifa kabisa. Na kufaulu kwa wanafunzi kunatokana na udanganyifu unaofanywa na wamiliki wa hizo shule na si ubora wa walimu.
Wewe ni mtu hatari sana
 
Back
Top Bottom