Mama Ndalichako kakague "Private Schools"

Mama Ndalichako kakague "Private Schools"

Kumekuwa na ukaguzi wa wafanyakazi hewa na madudu mengine wizara ya elimu. Natoa wito kwa Mama Ndalichako kutuma wakaguzi kwenye shule binafsi kikagua aina ya walimu wanaofundisha huko. Hili litaipunguzia serikali mzigo wa kuajiri walimu wote.

Kwa utafiti mdogo niliofanya wanaofundisha hizi shule hawana sifa za ualimu kama taaluma.

Ubaya wa hili ni kwamba wanaendesha mambo kienyeji na hawana ujuzi juu ya vitu vingi vilivyo ndani ya ualimu. Hata kuandika lesson plan au scheme of work hawawezi.

Pia kwa upande mwingine wanabania ajira kwa walimu wa kweli kutoka vyuo vinavyotambulika.

Ni kama itokee mtu aliyesomea uhasibu akafanye kazi ya lawyer, hapa lazima kuwe na mapungufu katika utendaji.

Nawasilisha, najua hili litafika kwa wahusika.
Shidakubwaa yamada nzimaa kwako muajiriwe mliomaliza vyuo..subirini serikalini hizi znastandard zao NA mumi wao sio tu utoke chuo uiingixwe shuleni ile sio mpanda sec AMA kaisikile prim school..ngoja tunalifikisha ombilako tutalifanyia kazi
 
Shidakubwaa yamada nzimaa kwako muajiriwe mliomaliza vyuo..subirini serikalini hizi znastandard zao NA mumi wao sio tu utoke chuo uiingixwe shuleni ile sio mpanda sec AMA kaisikile prim school..ngoja tunalifikisha ombilako tutalifanyia kazi
Ungesoma michango ya watu huku ungeelewa ukubwa wa tatizo
 
Shidakubwaa yamada nzimaa kwako muajiriwe mliomaliza vyuo..subirini serikalini hizi znastandard zao NA mumi wao sio tu utoke chuo uiingixwe shuleni ile sio mpanda sec AMA kaisikile prim school..ngoja tunalifikisha ombilako tutalifanyia kazi
Kha hawa wasomi wa digitali na mwendo kasi shida maana hata kilichoandikwa hakieleweki
 
MVHUMI SHIDA KUBWA ILIOPO N MOJA

WAHUSIKA WENGI WAHIZI SHULE N WAKUBWA SERIKALIN AMA WALIOSTAAFU NDIO MAANA HATAILIPOKUJA ADA ELEKEZI SERKL ILITOA MPAKA TANGAZO UNAJUA MPAKA SASA KWANN AZIJAGUSWA N SHIDA NDEFU
 
Ndioomaana wanaamua kuweka wanaowatakaa kuletabata KUNA mama mmoja aliweka chuo chake akaanza kufundisha wakitoka unachekiwa English imetoka unapewa darasa mwisho wa kaanza let'a vishoka wa Kenya walipoanza issue za kuchungulia vibali wote wamerdi kwao walikuwa wanapga kazi bila ruhusa ya serikali

Nbe
Sijasema mchunguze jaman
 
Back
Top Bottom