GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
How? Please explain...
hehehe!
hapa inabidi USABSTANSHIETI.....
2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA
Hebu jamani niambieni, katika hayo hapo juu lipi gumu kumfanyia 'mama mwenye nyumba'?