Pasco labda nikuulize swali je wewe ni "MPANGO MZIMA" au "MPANGO WA NJE"Tena liwe jimama lililo olewa...Finest, Smiles,winlady, nisaidieni! Nataka niwe kama NICK CANNON na MARIAH CAREY,
ha ha ha ha!...teamo, kwema huko?
shem na kabinti wanaendeleaje.
hivi pampers au nepi zinauzwaje siku hizi?
halafu vichanga vya siku hizi vinakula balaa, unanunua maziwa gani ya kopo? Bei?
maana naskia lactogen na s-26 zilishapigwa marufuku. Anyway,...
kumradhi wajemeni kwa kwenda nje ya topic,...namjulia hali tu huyu jamaa yangu hapa.
...Teamo, kwema huko?
Shem na kabinti wanaendeleaje.
Hivi Pampers au nepi zinauzwaje siku hizi?
Halafu vichanga vya siku hizi vinakula balaa, unanunua maziwa gani ya kopo? bei?
maana naskia Lactogen na S-26 zilishapigwa marufuku. Anyway,...
Kumradhi wajemeni kwa kwenda nje ya topic,...namjulia hali tu huyu jamaa yangu hapa.
Hivi watoto bado wanapewa GRIPU WOTA? AU NI SAFARI WOTA?
Kuna baadhi ya maaskofu watakuwa kuni za kuwachomea waumini wao..........
Ni kweli babu usemalo na watakuwa petrol kuwashia moto kila mara utakapoonyesha dalili ya kuzima
ANGALIZO: kumbuka kuwa mama yako mwenye nyumba ni mpango wa nje wa mtu mwingine!
Nawasilisha!
hapo umenena duh!