''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

Hivi TEAMO hii 'MAMBO YA NJE' unamaanisha 'NJE CUP' au?

Mimi naona bora 'MAMBO YA NDANI' siku moja moja unaigeuza inakuwa 'MAMBO YA NJE'
ha ha ha!mi nimesema ''mpango wa nje'' bana!

sasa hiyo ''mama mwenye nyumba'' tageukaje na kuwa ''mpango wa nje''?
 
ok! Basi ni-pm unielezee vizuri maana itakuwa kazi kidogo mimi kuwa-identify hao wanaochukua waume za watu afu nikawafata! Hawapendagi kujulikana ujue? Sasa mi ntawajuaje...? Itabidi tu unielezee....

je kama mimi nachukua mke wa mtu unategemea nikwambie what do i get kwa huyo mke wa mtu? Je kama wewe ni mume wa huyo mtu ha ha ha just kiddin all in all ni vitu vya kawaida kuvisikia katika jamii yetu so just hang on utasikia tu siku moja
 
As long as mama mwenye nyumba hajui kile kinachoendelea kuhusu mpango wa nje, I think kila mtu anaenjoy kwa wakati wake!!

Hivi unafikiri hawajui...? They are just not telling u what they know coz they are wise enough to know that they don't want their families to fall apart, but they know and they live in such horrible circumstances!! How difficult it is to being a woman...and more difficult when u are married!
 
As long as mama mwenye nyumba hajui kile kinachoendelea kuhusu mpango wa nje, I think kila mtu anaenjoy kwa wakati wake!!
walio wengi wanajua bana......!
enewei hata hivyo kimey haiwezekan kwamba ikawa ''NGOMA DROO''
 
kiuhalisia mpango wa nje ndo unabenefit hapo kuliko mwenye nyumba,,,na mbaya zaidi mwanaume mwingine anapokuwa akifanya infii anaeleza weakness za mke wake though smtyms ni za uongo,,,so mpango wa nje unajaribu kucheza na gaps ili kuweza kizifill,,,ila ikatokea mambo yakabadilika mpango wa nje ukawa mwenye nyumba,,mlango mwingine unafunguliwa fasta!since there is no miss/mr perfect kwa hiyo unakuta infii kwa walio wengi haiwezi kukoma in actual fact!inaumiza sana
 
je kama mimi nachukua mke wa mtu unategemea nikwambie what do i get kwa huyo mke wa mtu? Je kama wewe ni mume wa huyo mtu ha ha ha just kiddin all in all ni vitu vya kawaida kuvisikia katika jamii yetu so just hang on utasikia tu siku moja

Mmh...this is not fair at all, but its ok!
 
ha ha ha!mi nimesema ''mpango wa nje'' bana!

sasa hiyo ''mama mwenye nyumba'' tageukaje na kuwa ''mpango wa nje''?

Aisee inawezekana kabisa 'mama mwenye nyumba' siku moja moja akageuka kuwa 'nje cup'....na hapo ndo utamu wa ndoa huwa unaanza
 
Hivi unafikiri hawajui...?
Eheeeeee!!!!!!!
They are just not telling u what they know coz they are wise enough to know that they don't want their families to fall apart,
Hii statement huwa naisikia kwa wanawake wengi sana sasa sijui kwanini wanalalamika if they know
but they know and they live in such horrible circumstances!! How difficult it is to being a woman...and more difficult when u are married!
Nyie wenyewe ndio mna cause those difficulties unajua halafu unakaa kimya for the sake of protecting your marriage i guess your an angel mbona mkipigwa mwasema
 
Hivi unafikiri hawajui...? They are just not telling u what they know coz they are wise enough to know that they don't want their families to fall apart, but they know and they live in such horrible circumstances!! How difficult it is to being a woman...and more difficult when u are married!
sasa smiles hebu niambie.....

KUNA UMUHIMU GANI WA MWANAMKE KULAZIMISHA KUOLEWA ''KWA MAANA YA KUHESHIMIWA''?.....mbona wasioolewa na wakawa ''mpango wa nje'' wanainjoi zaidi kuliko hata kuliko yenyewe?
 
kiuhalisia mpango wa nje ndo unabenefit hapo kuliko mwenye nyumba,,,na mbaya zaidi mwanaume mwingine anapokuwa akifanya infii anaeleza weakness za mke wake though smtyms ni za uongo,,,so mpango wa nje unajaribu kucheza na gaps ili kuweza kizifill,,,ila ikatokea mambo yakabadilika mpango wa nje ukawa mwenye nyumba,,mlango mwingine unafunguliwa fasta!since there is no miss/mr perfect kwa hiyo unakuta infii kwa walio wengi haiwezi kukoma in actual fact!inaumiza sana

Smiles nafikiri ukisoma bandiko hili utaelewa nilichokuwa namaanisha
 
kiuhalisia mpango wa nje ndo unabenefit hapo kuliko mwenye nyumba,,,na mbaya zaidi mwanaume mwingine anapokuwa akifanya infii anaeleza weakness za mke wake though smtyms ni za uongo,,,so mpango wa nje unajaribu kucheza na gaps ili kuweza kizifill,,,ila ikatokea mambo yakabadilika mpango wa nje ukawa mwenye nyumba,,mlango mwingine unafunguliwa fasta!since there is no miss/mr perfect kwa hiyo unakuta infii kwa walio wengi haiwezi kukoma in actual fact!inaumiza sana
UMENIKUNA HAPO MAMA!......
sababu nyingine ya kuja arusha
 
Aisee inawezekana kabisa 'mama mwenye nyumba' siku moja moja akageuka kuwa 'nje cup'....na hapo ndo utamu wa ndoa huwa unaanza
hehehe!
hapa inabidi USABSTANSHIETI.....
 
kiuhalisia mpango wa nje ndo unabenefit hapo kuliko mwenye nyumba,,,na mbaya zaidi mwanaume mwingine anapokuwa akifanya infii anaeleza weakness za mke wake though smtyms ni za uongo,,,so mpango wa nje unajaribu kucheza na gaps ili kuweza kizifill,,,ila ikatokea mambo yakabadilika mpango wa nje ukawa mwenye nyumba,,mlango mwingine unafunguliwa fasta!since there is no miss/mr perfect kwa hiyo unakuta infii kwa walio wengi haiwezi kukoma in actual fact!inaumiza sana

USIPOTEE SANA KWENYE CHAMA HALAFU Posted via Mobile MUDA HUU UKO WAPI??
 
sasa smiles hebu niambie.....

KUNA UMUHIMU GANI WA MWANAMKE KULAZIMISHA KUOLEWA ''KWA MAANA YA KUHESHIMIWA''?.....mbona wasioolewa na wakawa ''mpango wa nje'' wanainjoi zaidi kuliko hata kuliko yenyewe?

Sina uhakika kwa yule anaye lazimisha anakuwa na nini kichwani, na kama its the idea of kuheshimika basi that's a very big mistake, ndoa haimaanishi heshima na vile vile kuwa mpango wa nje si maadili mema maana unakuwa ni chanzo cha kuharibika kwa ndoa ya mtu fulani, we are not supposed to cause unhappiness kwa wengine but to support them in fulfiln their happiness!
 
Back
Top Bottom