Tehetehetehetehetehe.nimfanya kaz so anawajibikaa huyo asie na elimu gori kipa ndo azunguke
Hatutafuti Rais wa chumhan. Mama Samia Suluhu anatosha kuwakilisha wanawake
Kani umesikia mke wa Magufuli ni wa jikoni tu?Wasukuma mwanamke ni jikoni tu na uani
Hatutafuti Rais wa chumhan. Mama Samia Suluhu anatosha kuwakilisha wanawake
Hivi mumewe aitwa nani vile?
Hivi mumewe aitwa nani vile?
nimfanya kaz so anawajibikaa huyo asie na elimu gori kipa ndo azunguke
Wasukuma mwanamke ni jikoni tu na uani
Wasukuma mwanamke ni jikoni tu na uani
Nimeshajua rangi zako.
Hujamkwaza ila umemuelewesha.Kwa vile watu wanataka mabadiliko basi ni wazi hata mshauri wa mkulu sasa atakuwa Mwl mwenye shahada ya uzamili baada ya kuondoka Mwl wa UPEJambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Pitia mabandiko ya wiki mbili zilizopita hapa JF, tulielezwa Mama Lowassa ni mama msomi ana Masters degree na ni Mwalimu by training and profession. Inawezekana kiwango chake cha elimu hakuna mwanamke kwenye uko wako aliyekifikia!!! Samahani kama nimekukwaza!!