Nimemmiss sana, Hayati John Pombe Magufuli

fungi06

JF-Expert Member
Jul 1, 2020
718
996
Sio siri amna kipindi nilifurahia kuwa mtanzania kama kipindi raisi Magufuli akiwa Rais wetu.

Kwa sasa sioni furaha kabisa na taifa langu. Sina Imani na viongozi wangu hata mmoja labda tu Makonda angalau ananionyesha anaujali sana utaifa wetu.

Huu ni mda wakuwapa vijana fursa hawa wazee hawana huruma maana wengi wao watoto wao wapo nje wanakula good time kwenye snow.

Namkumbuka sana Rais Magufuli kweli nilianza kubadilika kama kijana kutoka kwenye kupenda miziki mpaka kupenda kuangalia taarifa ya habari maana raisi Magufuli alinivutia sana utendaji kazi wake. Hakukubali kabisa ujinga ukatize mbele ya macho yake. Alikemea ujinga. Alisafisha madunya wote serikalini.

Leo hii sioni raha kabisa yakuangalia taarifa ya habari.

Nimemkumbuka sana hayati John Pombe Magufuli. He was a best president we should have.

Mungu akubariki sana uko ulipo i hope ule msemo wako kuwa "Mbinguni pia Mungu atakupa kazi yakuongoza Malaika"
Kweli Magufuli alikua MTAWALA.

hakupepesa macho, aliongea kilicho nyooka. Tulianza adi kumuona kwenye magazeti ya ma capitalist huko walianza kumjadili kimya kimya.

Raisi Magufuli alikua legend.

Najua wengi wetu now mnajiuliza magufuli aliwezaje kukusanya kodi vizuri kwa watu wote, yule mzee nilimuelewa sana yaani, najua matajiri aliwasumbua sana kwenye kodi maana TRA Walikua wanasubiria milangoni yaani ukitoka bila risiti aise mwenye huduma anakizai zai.

Yapo mengi mazuri aliyofanya. Japo mabaya yapo ila ayazidi hata nusu ya mazuri yaliyo mengi.

Binafsi mimi nilikuwa adi naambiwa na marafiki zangu wa ujerumani kwamba "what is Magufuli?" Mimi nilikua nawajibu ni kofuli dume linaloongoza nchi. Nilikua nafurahi sana alitufanya tukaonekana watu na sisi sio manyani wakwanza kuanza kudevelope.

Magufuli alikua hitaji la watanzania, Magufuli alikua true Baba wa taifa mkuu.

Najua wengi mtasema vijana wengi tunapenda uongozi wa kidikteta lakini magufuli hakuwa dikteta kwangu, alikua mtu anafwatilia. Na nchini kwetu ukiwa mfwatiliaji utayumbishwa sana maana tuna majitu mavivu sana yanatuongoza yanayotumumunya yakimaliza yanatukimbia kwenda zao kuishi ughaibuni.

Sishangai maana wengi wao sio quality zinawapa cheo. Na pia sio kama nina wivu nao hapana maana pongezi ni kwa baba na mama zao waliopata kweli kwa kuonyesha umaridadi wao kulitumikia nchi.

Mpaka mpira yaani naisi kipindi cha magufuli kukifanyika chaguzi na mapinduzi sahihi kimpira hata tukampata eng. Hels yanga pale.
Huwenda magufuli angekua basi kile kipindi yangu tungechukua kombe la kimataifa.

Magufuli ni mtu na nitamkumbuka sana sana sanaaaa.

Nilikua nafuraha sana maana biashara tukiruhusiwa pia kufanya popote cha msingi tu nizingatie sheria now hata kuwa machinga nchini kwangu ni hofu kubwa maana tunalazimishwa kukaa sehemu moja wamachinga wote wenye biashara zinazofanana. Hii hupelekea ata watu kuwaza ujinga na kutaka kulogana.

Magufuli nitakukumbuka mpaka ubadhirifu utakapokuja kumalizwa na mtu mwingine mwenye caliber ya Magufuli..

Mpaka wenzetu kenya walianza kuinama kwa magufuli walitamani awe raisi wao pia embu imagine jembe tulilokuwa nalo.

Ifike maali vijana tuangalie maana vijana wengi walio zaliwa miaka ya 1900 ni mazuzu sana. Sasa naomba sisi wa 2000's tusijekuwa kama hawa mazee ya 1900 ambayo hata kupambania haki zao hawawezi kabisa. Tusikubali kabisa kuwa kama majitu ya 1900's.

Mtu aliekuwa sahihi kuzaliwa miaka ya 1900's ni Magufuli tuu hao wengine ni wajaza dunia sana.

Enough now
 
Mimi nimemmiss Rais wa awamu ya Kwanza Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa uzalendo wake. Ukisikia Mzalendo wa kweli kwa nchi yake, ndiyo huyu sasa!

Sema tu kuna wakati huwa ninamlaumu kwa kuukumbatia sana Ujamaa ambao hata China wenyewe waliamua kuuchanganya na ubepari, kupenda sana kuzisaidia nchi nyingine za Kiafrika kupata Uhuru, na pia kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar kwenye muungano wa changu changu, chako changu.
 
Sio siri amna kipindi nilifurahia kuwa mtanzania kama kipindi raisi Magufuli akiwa Rais wetu.

Kwa sasa sioni furaha kabisa na taifa langu. Sina Imani na viongozi wangu hata mmoja labda tu Makonda angalau ananionyesha anaujali sana utaifa wetu.

Huu ni mda wakuwapa vijana fursa hawa wazee hawana huruma maana wengi wao watoto wao wapo nje wanakula good time kwenye snow.

Namkumbuka sana Rais Magufuli kweli nilianza kubadilika kama kijana kutoka kwenye kupenda miziki mpaka kupenda kuangalia taarifa ya habari maana raisi Magufuli alinivutia sana utendaji kazi wake. Hakukubali kabisa ujinga ukatize mbele ya macho yake. Alikemea ujinga. Alisafisha madunya wote serikalini.

Leo hii sioni raha kabisa yakuangalia taarifa ya habari.

Nimemkumbuka sana hayati John Pombe Magufuli. He was a best president we should have.

Mungu akubariki sana uko ulipo i hope ule msemo wako kuwa "Mbinguni pia Mungu atakupa kazi yakuongoza Malaika"
Kweli Magufuli alikua MTAWALA.

hakupepesa macho, aliongea kilicho nyooka. Tulianza adi kumuona kwenye magazeti ya ma capitalist huko walianza kumjadili kimya kimya.

Raisi Magufuli alikua legend.

Najua wengi wetu now mnajiuliza magufuli aliwezaje kukusanya kodi vizuri kwa watu wote, yule mzee nilimuelewa sana yaani, najua matajiri aliwasumbua sana kwenye kodi maana TRA Walikua wanasubiria milangoni yaani ukitoka bila risiti aise mwenye huduma anakizai zai.

Yapo mengi mazuri aliyofanya. Japo mabaya yapo ila ayazidi hata nusu ya mazuri yaliyo mengi.

Binafsi mimi nilikuwa adi naambiwa na marafiki zangu wa ujerumani kwamba "what is Magufuli?" Mimi nilikua nawajibu ni kofuli dume linaloongoza nchi. Nilikua nafurahi sana alitufanya tukaonekana watu na sisi sio manyani wakwanza kuanza kudevelope.

Magufuli alikua hitaji la watanzania, Magufuli alikua true Baba wa taifa mkuu.

Najua wengi mtasema vijana wengi tunapenda uongozi wa kidikteta lakini magufuli hakuwa dikteta kwangu, alikua mtu anafwatilia. Na nchini kwetu ukiwa mfwatiliaji utayumbishwa sana maana tuna majitu mavivu sana yanatuongoza yanayotumumunya yakimaliza yanatukimbia kwenda zao kuishi ughaibuni.

Sishangai maana wengi wao sio quality zinawapa cheo. Na pia sio kama nina wivu nao hapana maana pongezi ni kwa baba na mama zao waliopata kweli kwa kuonyesha umaridadi wao kulitumikia nchi.

Mpaka mpira yaani naisi kipindi cha magufuli kukifanyika chaguzi na mapinduzi sahihi kimpira hata tukampata eng. Hels yanga pale.
Huwenda magufuli angekua basi kile kipindi yangu tungechukua kombe la kimataifa.

Magufuli ni mtu na nitamkumbuka sana sana sanaaaa.

Nilikua nafuraha sana maana biashara tukiruhusiwa pia kufanya popote cha msingi tu nizingatie sheria now hata kuwa machinga nchini kwangu ni hofu kubwa maana tunalazimishwa kukaa sehemu moja wamachinga wote wenye biashara zinazofanana. Hii hupelekea ata watu kuwaza ujinga na kutaka kulogana.

Magufuli nitakukumbuka mpaka ubadhirifu utakapokuja kumalizwa na mtu mwingine mwenye caliber ya Magufuli..

Mpaka wenzetu kenya walianza kuinama kwa magufuli walitamani awe raisi wao pia embu imagine jembe tulilokuwa nalo.

Ifike maali vijana tuangalie maana vijana wengi walio zaliwa miaka ya 1900 ni mazuzu sana. Sasa naomba sisi wa 2000's tusijekuwa kama hawa mazee ya 1900 ambayo hata kupambania haki zao hawawezi kabisa. Tusikubali kabisa kuwa kama majitu ya 1900's.

Mtu aliekuwa sahihi kuzaliwa miaka ya 1900's ni Magufuli tuu hao wengine ni wajaza dunia sana.

Enough now
Kwani kwa jirani si moto unawaka unashindwaje kumtazama yeye ?
 
Sio siri amna kipindi nilifurahia kuwa mtanzania kama kipindi raisi Magufuli akiwa Rais wetu.

Kwa sasa sioni furaha kabisa na taifa langu. Sina Imani na viongozi wangu hata mmoja labda tu Makonda angalau ananionyesha anaujali sana utaifa wetu.

Huu ni mda wakuwapa vijana fursa hawa wazee hawana huruma maana wengi wao watoto wao wapo nje wanakula good time kwenye snow.

Namkumbuka sana Rais Magufuli kweli nilianza kubadilika kama kijana kutoka kwenye kupenda miziki mpaka kupenda kuangalia taarifa ya habari maana raisi Magufuli alinivutia sana utendaji kazi wake. Hakukubali kabisa ujinga ukatize mbele ya macho yake. Alikemea ujinga. Alisafisha madunya wote serikalini.

Leo hii sioni raha kabisa yakuangalia taarifa ya habari.

Nimemkumbuka sana hayati John Pombe Magufuli. He was a best president we should have.

Mungu akubariki sana uko ulipo i hope ule msemo wako kuwa "Mbinguni pia Mungu atakupa kazi yakuongoza Malaika"
Kweli Magufuli alikua MTAWALA.

hakupepesa macho, aliongea kilicho nyooka. Tulianza adi kumuona kwenye magazeti ya ma capitalist huko walianza kumjadili kimya kimya.

Raisi Magufuli alikua legend.

Najua wengi wetu now mnajiuliza magufuli aliwezaje kukusanya kodi vizuri kwa watu wote, yule mzee nilimuelewa sana yaani, najua matajiri aliwasumbua sana kwenye kodi maana TRA Walikua wanasubiria milangoni yaani ukitoka bila risiti aise mwenye huduma anakizai zai.

Yapo mengi mazuri aliyofanya. Japo mabaya yapo ila ayazidi hata nusu ya mazuri yaliyo mengi.

Binafsi mimi nilikuwa adi naambiwa na marafiki zangu wa ujerumani kwamba "what is Magufuli?" Mimi nilikua nawajibu ni kofuli dume linaloongoza nchi. Nilikua nafurahi sana alitufanya tukaonekana watu na sisi sio manyani wakwanza kuanza kudevelope.

Magufuli alikua hitaji la watanzania, Magufuli alikua true Baba wa taifa mkuu.

Najua wengi mtasema vijana wengi tunapenda uongozi wa kidikteta lakini magufuli hakuwa dikteta kwangu, alikua mtu anafwatilia. Na nchini kwetu ukiwa mfwatiliaji utayumbishwa sana maana tuna majitu mavivu sana yanatuongoza yanayotumumunya yakimaliza yanatukimbia kwenda zao kuishi ughaibuni.

Sishangai maana wengi wao sio quality zinawapa cheo. Na pia sio kama nina wivu nao hapana maana pongezi ni kwa baba na mama zao waliopata kweli kwa kuonyesha umaridadi wao kulitumikia nchi.

Mpaka mpira yaani naisi kipindi cha magufuli kukifanyika chaguzi na mapinduzi sahihi kimpira hata tukampata eng. Hels yanga pale.
Huwenda magufuli angekua basi kile kipindi yangu tungechukua kombe la kimataifa.

Magufuli ni mtu na nitamkumbuka sana sana sanaaaa.

Nilikua nafuraha sana maana biashara tukiruhusiwa pia kufanya popote cha msingi tu nizingatie sheria now hata kuwa machinga nchini kwangu ni hofu kubwa maana tunalazimishwa kukaa sehemu moja wamachinga wote wenye biashara zinazofanana. Hii hupelekea ata watu kuwaza ujinga na kutaka kulogana.

Magufuli nitakukumbuka mpaka ubadhirifu utakapokuja kumalizwa na mtu mwingine mwenye caliber ya Magufuli..

Mpaka wenzetu kenya walianza kuinama kwa magufuli walitamani awe raisi wao pia embu imagine jembe tulilokuwa nalo.

Ifike maali vijana tuangalie maana vijana wengi walio zaliwa miaka ya 1900 ni mazuzu sana. Sasa naomba sisi wa 2000's tusijekuwa kama hawa mazee ya 1900 ambayo hata kupambania haki zao hawawezi kabisa. Tusikubali kabisa kuwa kama majitu ya 1900's.

Mtu aliekuwa sahihi kuzaliwa miaka ya 1900's ni Magufuli tuu hao wengine ni wajaza dunia sana.

Enough now
Mfuate huko aliko sasa hivi endapo kama kweli ume-miss
 
Fanya kazi...penda familia yako kwanza...dunia ni mapito....nchi inaendeshwa kwa mifumo..hata huyo makonda aboreshe taasisi iwe imara...peke yake hatoweza
 
Sio siri amna kipindi nilifurahia kuwa mtanzania kama kipindi raisi Magufuli akiwa Rais wetu.

Kwa sasa sioni furaha kabisa na taifa langu. Sina Imani na viongozi wangu hata mmoja labda tu Makonda angalau ananionyesha anaujali sana utaifa wetu.

Huu ni mda wakuwapa vijana fursa hawa wazee hawana huruma maana wengi wao watoto wao wapo nje wanakula good time kwenye snow.

Namkumbuka sana Rais Magufuli kweli nilianza kubadilika kama kijana kutoka kwenye kupenda miziki mpaka kupenda kuangalia taarifa ya habari maana raisi Magufuli alinivutia sana utendaji kazi wake. Hakukubali kabisa ujinga ukatize mbele ya macho yake. Alikemea ujinga. Alisafisha madunya wote serikalini.

Leo hii sioni raha kabisa yakuangalia taarifa ya habari.

Nimemkumbuka sana hayati John Pombe Magufuli. He was a best president we should have.

Mungu akubariki sana uko ulipo i hope ule msemo wako kuwa "Mbinguni pia Mungu atakupa kazi yakuongoza Malaika"
Kweli Magufuli alikua MTAWALA.

hakupepesa macho, aliongea kilicho nyooka. Tulianza adi kumuona kwenye magazeti ya ma capitalist huko walianza kumjadili kimya kimya.

Raisi Magufuli alikua legend.

Najua wengi wetu now mnajiuliza magufuli aliwezaje kukusanya kodi vizuri kwa watu wote, yule mzee nilimuelewa sana yaani, najua matajiri aliwasumbua sana kwenye kodi maana TRA Walikua wanasubiria milangoni yaani ukitoka bila risiti aise mwenye huduma anakizai zai.

Yapo mengi mazuri aliyofanya. Japo mabaya yapo ila ayazidi hata nusu ya mazuri yaliyo mengi.

Binafsi mimi nilikuwa adi naambiwa na marafiki zangu wa ujerumani kwamba "what is Magufuli?" Mimi nilikua nawajibu ni kofuli dume linaloongoza nchi. Nilikua nafurahi sana alitufanya tukaonekana watu na sisi sio manyani wakwanza kuanza kudevelope.

Magufuli alikua hitaji la watanzania, Magufuli alikua true Baba wa taifa mkuu.

Najua wengi mtasema vijana wengi tunapenda uongozi wa kidikteta lakini magufuli hakuwa dikteta kwangu, alikua mtu anafwatilia. Na nchini kwetu ukiwa mfwatiliaji utayumbishwa sana maana tuna majitu mavivu sana yanatuongoza yanayotumumunya yakimaliza yanatukimbia kwenda zao kuishi ughaibuni.

Sishangai maana wengi wao sio quality zinawapa cheo. Na pia sio kama nina wivu nao hapana maana pongezi ni kwa baba na mama zao waliopata kweli kwa kuonyesha umaridadi wao kulitumikia nchi.

Mpaka mpira yaani naisi kipindi cha magufuli kukifanyika chaguzi na mapinduzi sahihi kimpira hata tukampata eng. Hels yanga pale.
Huwenda magufuli angekua basi kile kipindi yangu tungechukua kombe la kimataifa.

Magufuli ni mtu na nitamkumbuka sana sana sanaaaa.

Nilikua nafuraha sana maana biashara tukiruhusiwa pia kufanya popote cha msingi tu nizingatie sheria now hata kuwa machinga nchini kwangu ni hofu kubwa maana tunalazimishwa kukaa sehemu moja wamachinga wote wenye biashara zinazofanana. Hii hupelekea ata watu kuwaza ujinga na kutaka kulogana.

Magufuli nitakukumbuka mpaka ubadhirifu utakapokuja kumalizwa na mtu mwingine mwenye caliber ya Magufuli..

Mpaka wenzetu kenya walianza kuinama kwa magufuli walitamani awe raisi wao pia embu imagine jembe tulilokuwa nalo.

Ifike maali vijana tuangalie maana vijana wengi walio zaliwa miaka ya 1900 ni mazuzu sana. Sasa naomba sisi wa 2000's tusijekuwa kama hawa mazee ya 1900 ambayo hata kupambania haki zao hawawezi kabisa. Tusikubali kabisa kuwa kama majitu ya 1900's.

Mtu aliekuwa sahihi kuzaliwa miaka ya 1900's ni Magufuli tuu hao wengine ni wajaza dunia sana.

Enough now
RIP Ben Saanane.
 
Back
Top Bottom