Mama Magufuli, nini kimekusibu?

Mama Magufuli, nini kimekusibu?

Nyie c mmehaidiwa mahaba!? Huo ni ucameroon ulio tukuka na ss wa tz pigo hizo hatutaki! Bila aibu mtu mzima na akili zake ana nadi mahaba badala ya ishu za maana pelekeni upopobawa wenu huko

Shetani mkubwa wewe
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Pitia mabandiko ya wiki mbili zilizopita hapa JF, tulielezwa Mama Lowassa ni mama msomi ana Masters degree na ni Mwalimu by training and profession. Inawezekana kiwango chake cha elimu hakuna mwanamke kwenye uko wako aliyekifikia!!! Samahani kama nimekukwaza!!
Raha sana kukuona tena Mama Mdogo! Ni kweli mke wa Lowassa ni msomi sana.
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu wa shule ya msingi ataongea nn?? Naskia magufuli alimwacha kijijini uko yy mjini anatanua na watrtro wa mujini
 
Mama magufuli hana ujivuni wa Pesa kwamba aache kufundisha watoto na aache kazi eti kwa sababu Mumewe anagombea ,magufuli hawezi kukubali kuandamana na mke aliyeajiriwa na Serikali hiyo ni kuvunja sheria Magufuli ni mtu wa kazi.Angeambatana naye tena mnge uliza ni nani anamshikia vipindi vyako ,mara ooh je analipwa mshahara,ooo hivi inakuwaje mke wa mwanasiasa kujihusisha na siasa n.k wanadamu hamna jema ,JPM yuko makini sana na sheria.
 
MAMA POMBE UKO WAPI?? tunamuona mama Lowassa tu we mwenzetu kulikoniii?? tunge penda kupata neno kutoka kwa mama wa mgombea jamani...

Wanajamvi naomba tujuzane kwa wenye taarifa haiwezekani mke wa mama Raisi matalajiwa tusipate neno kutoka kwake?

Unamaanisha mama magufuli yupi?

yule Mwalimu au yule aliyetajwa jana na Slaa kuwa kanunuliwa nyumba ya Serikali ili hali yeye wala sio mtumishi wa serikali
 
Maza magufuli kachukia sanaa bada ya kupata ushahidi usio na shaka kuwa magufuli kamhonga nyumba ya serikali kimada wake, na hivi sasa amani imetoweka katika familia yao...
 
Nimegundua kwanini huwa anasahau kumtamburisha pindi wawapo wote kwenye mikutano
 
Angalia kauli zako. Yule mama ni Mwalimu na anaendelea kufundisha

Mbona mama Salma ni mwalimu na cha zaidi woote wapo shule moja na Huyo wa Magufuli lakini Mama Salma alikuwa bega kwa bega na Kikwete, semeni tu kasusa.
 
Magufuli ni mzima na mwenye afya azunguke naye kwa ajili gani halafu huyu mama ana kazi sasa Edo ni mgonjwa lazima mkewe amuangalie halafu huyo mama hana kazi
 
Maza magufuli kachukia sanaa bada ya kupata ushahidi usio na shaka kuwa magufuli kamhonga nyumba ya serikali kimada wake, na hivi sasa amani imetoweka katika familia yao...
Na slaa ndio anachochea zaidi
 
mama magufuli hana ujivuni wa pesa kwamba aache kufundisha watoto na aache kazi eti kwa sababu mumewe anagombea ,magufuli hawezi kukubali kuandamana na mke aliyeajiriwa na serikali hiyo ni kuvunja sheria magufuli ni mtu wa kazi.angeambatana naye tena mnge uliza ni nani anamshikia vipindi vyako ,mara ooh je analipwa mshahara,ooo hivi inakuwaje mke wa mwanasiasa kujihusisha na siasa n.k wanadamu hamna jema ,jpm yuko makini sana na sheria.

acha unafiki ww!!!!
 
Ndoa ya magufuli ina ufa, mapadlock Ana michepuko kibao so familia yake haipo sawa, yule mama Ana stress, Huyo magufuli alifunga ndoa nyingine kimila na mdada aitwa Sundi wa Gedeli nyakato, ilipelekea maadam kumsusa jpm, ameombwa sn amsaidie mumewe maadam bado hajawa sawa
tehe..tehe..tehe...!kumbeeeeee!
 
Nampenda mama magufuli,ameokoka na mtu wa kujishusha,naamini Yuko kwenye maombi mazito na kuandaliwa kuwa first lady wetu,MUNGU amsaidie.
 
Back
Top Bottom