Mama Magufuli, nini kimekusibu?

Mama Magufuli, nini kimekusibu?

Kani umesikia mke wa Magufuli ni wa jikoni tu?

Tumia akili yako japo kidogo
nimesema 'wasukuma'
sijasema mke wa magufuli..simjui na wala sijui kama ni msukuma

Nazungumzia culture ya wasukuma.....Wanawake hawarithi wala kushiriki vikao vya maamuzi
 
Ndoa ya magufuli ina ufa, mapadlock Ana michepuko kibao so familia yake haipo sawa, yule mama Ana stress, Huyo magufuli alifunga ndoa nyingine kimila na mdada aitwa Sundi wa Gedeli nyakato, ilipelekea maadam kumsusa jpm, ameombwa sn amsaidie mumewe maadam bado hajawa sawa

Halafu kuna mdada mmoja wa mjini alizaa nae,wakazinguana,akamtelekeza, akachukua mtoto(wa kiume) kampelekea mkewe.,mkewe ana stress,depression,frustrations,hata usoni ukimuangalia.....utayaona mengi.....
 
Mnatazama kila kitu kisiasa
mimi nawajua wasukuma na nilichosema nishakisema mbele yao na hawapingi
wasukuma sio sawa na watu wa pwani
watu wa pwani ni makabila ambayo mama wana sauti
makabila ya wasukuma wanyamwezi na mengine ya bara
mimi mwenyewe mnyamwezi.....sio culture mwanamke kwenda mbele na wanaume
sio culture......hata kama kuna mabadiliko still culture zina nguvu....


nimefurahi kumbe we mnyamwezi mwenzangu, mie wa Ipuli
 
Kaka huyo ni mke wa mtu,msitafute balaa kama la SLAA, kwa nini asizunguke na small house alikokauziaga mpaka nyumba za Sirikali enzi zileeee au kakapiga chini?????
Hatutafuti Rais wa chumbani. Mama Samia Suluhu anatosha kuwakilisha wanawake
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Pitia mabandiko ya wiki mbili zilizopita hapa JF, tulielezwa Mama Lowassa ni mama msomi ana Masters degree na ni Mwalimu by training and profession. Inawezekana kiwango chake cha elimu hakuna mwanamke kwenye uko wako aliyekifikia!!! Samahani kama nimekukwaza!!

Malizia sifa zote kwamba ame specialise kwenye chemistry mathematics na physics.
 
halafu kuna mdada mmoja wa mjini alizaa nae,wakazinguana,akamtelekeza, akachukua mtoto(wa kiume) kampelekea mkewe.,mkewe ana stress,depression,frustrations,hata usoni ukimuangalia.....utayaona mengi.....

duh kumbe kajamaa ni noma kiasi hicho, au mnakazushia tu!
 
Msemaji wa chama cha mashetani katika ubora wake

Nyie c mmehaidiwa mahaba!? Huo ni ucameroon ulio tukuka na ss wa tz pigo hizo hatutaki! Bila aibu mtu mzima na akili zake ana nadi mahaba badala ya ishu za maana pelekeni upopobawa wenu huko
 
Ni vema tukawa na mke wa Rais low profile Kama mama maria ...huko nyuma Hadi Sasa wake za Marais wamekuwa centre of power at state house ....imekuwa tatizo ....Sana ......hasa Kipindi hiki ..
 
Udhaifu wa magamba anayetoka NA anayeingia ni shimo la tewa
 
Nasikia kachukia. Waume wa wenzie ni tuhuma za mahela tuu ye wakwake ni kutaifisha nyumba na kuhonga wanawake,wengine kuwakengea hoteli wakati yeye anaoiga chaki darasa la wanafunzi 120 mpaka Mafia na Mara asikie mzee alikuwa anaaga kwenda Igunga kumbe yuko Mabibo hosteli basi tuu full kuchanganyikiwa.
Anashangaa mbona kumbe tabia zinafanana na yule yule aliyekimbia familia na kuishi na mchumba?

Teh teh teh,kweli kwa mtindo huo lazima asuse tuu.
 
Tumia akili yako japo kidogo
nimesema 'wasukuma'
sijasema mke wa magufuli..simjui na wala sijui kama ni msukuma

Nazungumzia culture ya wasukuma.....Wanawake hawarithi wala kushiriki vikao vya maamuzi

Huyo Liza Bony akili zake kaziacha kwenye viambaza vya Lumumba na isitoshe kila siku asubuhi anakunywa supu ya rangi ya kijani na manjano,kwa hiyo wala usipoteza muda wako kumuelekeza lolote lile.
 
MAMA POMBE UKO WAPI?? tunamuona mama Lowassa tu we mwenzetu kulikoniii?? tunge penda kupata neno kutoka kwa mama wa mgombea jamani...


Wanajamvi naomba tujuzane kwa wenye taarifa haiwezekani mke wa mama Raisi matalajiwa tusipate neno kutoka kwake?????????????????????????????

labda rais wa familia yako
 
yuko ulaya anapewa nondo za kuwa first lady!!! am just singing
 
Back
Top Bottom