Mama Kikwete anusurika kukamatwa na fedha bandia

Status
Not open for further replies.

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.
 
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.

Source ya habari hizi????
 
Teh teh teh Dah ingekuwa kal wamuhfadhi store wakat wakjianda kupga cm ktengon
 
Asante kwa kutujulisha lakini nasikitika thread yako itaondolewa muda wowote usiniulize kwa nini.
 
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.

Mabaki ya dola za marekani za kule BOT za 1996.
 
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.
Jamaa hawakuwa na pingu.
 
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.
Mkuu ni fedha gani za zamani ambazo hazitumiki Marekani?.. maanake nijuavyo mimi Tanzania mnakataa fedha za zamani za Marekani chini ya mwaka 1982 sijui lakini bado zinatumika na binafsi nimeshazitumia sana tu..Majuzi tu nilikuwa Bufallo NY, nikabadilisha kwa faida baada ya kuzinunua Bongo kwa bei poa sana!..
 
Alitumia fedha za zamani, halafu Tanzania ni nchi pekee duniani inayo tumia fedha za aina mbili. Ni fedha za nchi gani? Ni za Tanzania au USA manake ninavyojua hela ya Tz huwezi kenda nayo popote tofaut na E.A. Weka mambo wazi.
 
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.

Tanzania na China:A S 103:
 
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.

lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.
Mkuu jibu hoja hii hapa chini ili kuondoa utata, hivi kweli USA unaweza kutumia fedha ya madafu?

Alitumia fedha za zamani, halafu Tanzania ni nchi pekee duniani inayo tumia fedha za aina mbili. Ni fedha za nchi gani? Ni za Tanzania au USA manake ninavyojua hela ya Tz huwezi kenda nayo popote tofaut na E.A. Weka mambo wazi.
 
Hii umeitoa wapi bana?

Kwani hujajua kuwa first lady huandamana na wanaUWT, habari hizi haziwezi kuwapita. Humu Jamii Forums wamejaa kibao, we huoni tunapakuliwa ile misosi mizito mizito ya ndani huko tusikotia mguu, aka kwa wala kuku kwa mrija.
 
Kosa la Ikulu, wizara ya mambo za nchi za nje na ubalozi wa Tanzania Washington! Hawa watu walishindwa kuumpa taarifa sahihi juu ya currency zilizo kwenye circulation huko marekani?
 
Wajumbe wanashindwa tambua Hotel zenye kiwango cha kibalozi unaweza kulipa kwa fedha za nchi zinazotambulika .
 
Hivi kumbe wakiendaga huko mamtoni huwa wanabeba cash kwa mapochi yao! maajabu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom