MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
kakika ziara ya mama salma kikwete mwezi May 2011 nchini Marekani (ARIZONA) alinusulika kukamatwa na kosa la fedha bandia baada ya msafara wake kutumia fedha za zamani , mara baada ya kutoa fedha hizo wamiliki wa hoteli hii walipiga simu kwenye kikosi maalumu cha udhibiti wa fedha bandia na haramu ili kukabiliana na tatizo hilo.
lakini mara baada ya kupiga simu huko kikosi hicho kikawajibu wamiliki wa Hoteli hiyo kuwa, fedha hizo si bandia bali Tanzania ni nchi pekee Duniani inayotumia fedha za aina mbili kwa wakati mmoja na kila aina ikiwa halali na hakuna tatizo lolote na hakuna kipindi cha mpito kilichowekwa kuzitoa fedha za zamani kwenye mzunguko.
Hii ni bogus thread.
Hapa USA kama ukitoa 100 bill wanacho fanya ni kutumia pen maalumu kuangalia authenticity ya fedha. Usiandike vitu usivyo vijua. HAKUNA KIKOSI MAALUM CHA KUANGALIA FEDHA. HUU NI UONGO WA KAWAIDA.