pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Magufuli ni player mzuri sana kwa Wanawake, huyu mama wametengana kwa sababu ya Magufuli kuzidisha michepuko...ikiwa Magufuli atashinda Urais basi ndoa yake itakuwa km ile ya Benjamin Mkapa na Anna Mkapa!
ukizingatia wema sepetu ndo matron wa magu alafu aunty Ezekiel naye kashatia timu hapo mama kagundua hana chake.