Mama Janeth Magufuli agoma kukampeni, acharuka

Mama Janeth Magufuli agoma kukampeni, acharuka

Status
Not open for further replies.
BIGURUBE,

Hivi ukiambiwa uthibitishe hili unaweza Fanya hivyo? Ama nawe unatoa shutuma kwa taarifa za kusikia na kuambiwa na watu Wengine?

Ngoja Lowassa aingie madarakani atawafilisi wote wezi wa mali za uma!
 
Kwa ambao hamfahamu tu.. Huyo Kofuli mnayemwongelea hapa katoa watoto wake wengi tu kafara ili ang'ae kisiasa.. Kafara ya mwisho aliitoa majuzi tu hapa, maiti ikasafirishwa na ndege ya serikali. Huyo Kofuli kwa wasio mjua ni mchawi aliyewiva, kwake Kanisa ni kama Kituo cha Polisi. Wakati anatoa hizo kafara mkewe alikuwa hashirikishwi, hii kesi ilishapelekwa mpaka kwenye ngazi za Ukoo ikajadiliwa.. Huyo mkewe kamwe hawezi kuandamana nae, sababu bado damu za watoto wake zinamuumiza mpaka leo, tena ukizingatia yule mama ni mtu wa maombi sana..

Mmmmmmmh.....nimevutiwa na hili.japo ngum sana kuamini....umdhaniae siye kumbe ndie.doh!sikutegemea hili.
 
Kwa asili Magufuli ni mtu mwenye dharau sana...amemdharau yule mama wa watu mpaka ameamua kujikalia pembeni...imefika mahali Magufuli anakataa hata hotuba anazopewa na chama chake sababu ya dharau zake!
Mhuuuuum
 
Kwa asili Magufuli ni mtu mwenye dharau sana...amemdharau yule mama wa watu mpaka ameamua kujikalia pembeni...imefika mahali Magufuli anakataa hata hotuba anazopewa na chama chake sababu ya dharau zake!

Magufuli knows how work things out...nakubaliana na strategies zake
 
Napata wac wac kwa makomeo maana hata cku ya uzinduzi wa kampeni alisahau hata kumtambulisha mke mpaka wakamstua wapambe.
 
Mkuu Mbona Hata Alivokua Anagombea Ubunge Wa Chato Mkewe Hakujihusisha,mbona Hamkusema?Hivi Ukienda Kufanya Interview Ya Kuomba Kazi Lazima Uende Na Mmeo Au Mkeo?

Hahahaha 😂😂😂😂 mbavu zangu
 
mbona wewe akili zako na kauli zako Ni za kishoga!! Huna tofauti na dada zangu WA uswazi
kumbe ww ndo unayepumuliwa kisogoni na huyo jamaa ndo maana imekuuma haa haa utaumia dogo dandia tu treni kwa mbele ushughulikiwe!!lete hoja sio unaleta mipasho sijui dada zako wa uswahili sasa unatangaza soko kama una dada wanaohitaj mabwana!!
 
Kuna tatizo na idara ya usalama. Ilibidi hiyo itilafu itatuliwe kabla hata kamati kuu kumpitisha. Ni aibu kwa ccm. Kama ameshindwa kumamliza mgogoro wa ndani ataweza wa nje?

Ya best yake alisuluhisha mwl. kwa uwezo na usafi aliokuwa nao ingawa vipigo na kuumizana viliendelea kusikika miongoni mwao. Kwa sasa nani alie na busara na usafi kwenye ndoa yake kwa maana ya kutokua na mchepuko angeweza kumsogelea yule mama mchamungu wa hakika na kufanya hiyo suluhu.Msishangae hata mama Maria nae akitoka kapa. Mungu akimsaidia ki miujiza akashinda uraisi mkewe atamkubalia kuapishwa nae tu ila ikulu hataishi atabakia na wanawe walipo ila sio kuungana nae ikulu.
 
Hizi habari zinanifanya nianze kumchukia Magufuli,kama anamdharau mkewe sisi je wananchi?

Kufuli mnaloliona kwenye majukwaa ya kisiasa yale sio maisha yake halisi... Hizi habari tafuta jirani zake au co-workers wa mkewe wanayajua matatizo na shida anazokumbana nazo yule mama.
 
Mmmmmmmh.....nimevutiwa na hili.japo ngum sana kuamini....umdhaniae siye kumbe ndie.doh!sikutegemea hili.

Tafuta jirani zake, co-workers wa mkewe wanatambua kila kitu.. Nenda Jimboni kwake kaulize nani muhusika mkuu wa vifo vya Albino. 2010 alipita kwa uwizi wa kura tu..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom