Mama Janeth Magufuli agoma kukampeni, acharuka

Mama Janeth Magufuli agoma kukampeni, acharuka

Status
Not open for further replies.
Huyo mama kama mumewe atapita, anaweza asihudhurie hata dhifa za kitaifa, so mama Regina Lowassa ndiye pekee kati ya wagombea wote wanaume wanaoambatana na waume zao au kuwapigia kampeni, tumsapoti mama Regina.
Nakuunga mkono, twende na regina
 
Kwani Kazi Kuu Ya Ufirst Lady Nini,si Kumshauri Rais/mmewe Sasa Kuwepo Kwake Ama Kutokuwepo Kwake Kunaathiri Vp Kampeni Za Magufuli?Kwa Lipumba Mbona Hili La Mke Hamkulipigia Kelele?

Kaangalie kazi zinazofanywa na ma firstlady wa nchi za wenzetu.. Nenda tu hapo Rwanda ukajionee.. Sasa huyo mama hayuko tayari, maana anajua huyo jamaa akiuchukua ukulu atamaliza mpaka yeye kwa kafara. Uwaziri tu ameshaua watoto watatu na wote wanakufa kimaajabu tu. Sasa ukulu itakuwaje??
 
Kutokana na kutoonekana kwenye kampeni za mumewe, Dr. John P. Magufuli, Mama Janeth Magufuli ametumiwa ujumbe na CCM ili ajiunge kwenye kampeni za Dr. Magufuli. Ujumbe huo wa kichama ulitumwa kupitia wanamama manguli chamani ili kwenda kumpigia kampeni mumewe na kufanya ayafanyayo Mama Regina Lowassa, mke wa mgombea wa CHADEMA Edward Lowassa.

Katika kikao hicho cha kichama na kirafiki ili aafiki, Mama Magufuli aligoma kujiunga kwenye timu kampeni za mumewe zinazoendelea kurindima nchi nzima. Mama Magufuli, aliyesemekana kuwa mkali, alisema kuwa aachwe aendelee kufundisha wanafunzi wake wa Mbuyuni Primary School kwakuwa yeye si mwanasiasa. Mama Magufuli amewadokeza wapeleka ujumbe kuwa amekubaliana na Dr.Magufuli juu ya uamuzi wake wa kutoambatana naye kwenye kampeni.

Wajumbe waliopeleka ujumbe wa chama walibaki kimya na kurudisha majibu hayo ya mgomo. Turufu ya mwisho ya kumshawishi Mama Magufuli kujiunga kwenye kampeni imebaki kuwa Mama Maria Nyerere ambaye anatajwa kuwa na uwezo wa kumshawishi Mama Magufuli. Mama Magufuli atakutanishwa hivi karibuni na Mama Nyerere nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere Dar es Salaam ili kuyaweka sawa mambo hayo.

Inampasa Mama Magufuli aige mfano na awe kama Mama Regina Lowassa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

ImageUploadedByJamiiForums1442566388.702490.jpg
 
Kaangalie kazi zinazofanywa na ma firstlady wa nchi za wenzetu.. Nenda tu hapo Rwanda ukajionee.. Sasa huyo mama hayuko tayari, maana anajua huyo jamaa akiuchukua ukulu atamaliza mpaka yeye kwa kafara. Uwaziri tu ameshaua watoto watatu na wote wanakufa kimaajabu tu. Sasa ukulu itakuwaje??

Unajua kuna watu wanabishia mambo kwa kufuata mkumbo. Huyo mama anajua mengi sana, na sii ajabu kila siku kwake ni kilio tokea mumewe apendekezwe kugombea. Nani hapendi kuishi bwana? Kuna siri nzito sana kwa mheshimiwa huyu na walio karibu naye wanaijua. Hata kwa watu wa Chato kwa nini hawamuungi mkono? Ni kuwa wanajua ana tabia ya kufanya nini kufanikisha mambo yake na kuleta mvuto feki.
Usikute mama anafunga na kuomba Mwenyezi Mungu amuepushie kikombe hiki kwa Mumewe kukosa nafasi hiyo. Watanzania tuwe na asili ya kuhoji na kudadisi mambo kwa undani sana. Magufuli mnayemjua sio yeye alivyo.
 
Wwe nyumbu hebu acha mihemuko, Magufuli ni mwenyewe ni timu ya watu mia, anapiga mzigo mwenyewe, na atamaliza mwenyewe. Hii inatuambia pia kuwa hata akiingia ikulu hatayumbishwa na mke wake, maana kazi anapiga mwenyewe. Kwa lowassa ni wazi kabisa maamuzi mengi ya nchi yatakuwa yanatolewa na mama lowassa, maana kampen wamefanya woten

Duh!! Kwa hiki ulichoandika inamaanisha Kikwete maamuzi yalikuwa na yanafanyika na Mama Salma na Ridhiwan
 
Khaa!! Huyu mama ni mfano bora kabisa. Ameonyesha mfano wa kuthamini elimu za watoto kuliko kwenda kumpigia kampeni mumewe. Ama kweli JOHN ni JEMBE na JANETH naye ni JEMBE yanayofaa kuingia ikulu :glasses-nerdy:
 
Unajua kuna watu wanabishia mambo kwa kufuata mkumbo. Huyo mama anajua mengi sana, na sii ajabu kila siku kwake ni kilio tokea mumewe apendekezwe kugombea. Nani hapendi kuishi bwana? Kuna siri nzito sana kwa mheshimiwa huyu na walio karibu naye wanaijua. Hata kwa watu wa Chato kwa nini hawamuungi mkono? Ni kuwa wanajua ana tabia ya kufanya nini kufanikisha mambo yake na kuleta mvuto feki.
Usikute mama anafunga na kuomba Mwenyezi Mungu amuepushie kikombe hiki kwa Mumewe kukosa nafasi hiyo. Watanzania tuwe na asili ya kuhoji na kudadisi mambo kwa undani sana. Magufuli mnayemjua sio yeye alivyo.


Mkuu kuna mburulaz wengi humu hawamjui huyo mtu, na hawajui tabia za huyo mtu.. Aliyoyafanya kwa mkewe lazima mke imuumize sana. Hawezi akawa anakesha labour ku'pump alafu watoto watolewe duniani kwa njia za maajabu ajabu tu.. Nimeishi jirani yao kwa kipindi kirefu, yule Mama hatokaa afurahie hili maana hata yeye anahofu na maisha yake. Huyu mama ameamua kukesha akiomba tu, na maombi ndio miaka yote humweka hai la sivyo hata yeye angeshaondoshwa..
 
Magufuli ni player mzuri sana kwa Wanawake, huyu mama wametengana kwa sababu ya Magufuli kuzidisha michepuko...ikiwa Magufuli atashinda Urais basi ndoa yake itakuwa km ile ya Benjamin Mkapa na Anna Mkapa!

Hivi yule binti (Geologist) aliyezaa nae na kumpatia nyumba mmojawapo za serikali bure bado aanatimbua?
 
Mkuu kuna mburulaz wengi humu hawamjui huyo mtu, na hawajui tabia za huyo mtu.. Aliyoyafanya kwa mkewe lazima mke imuumize sana. Hawezi akawa anakesha labour ku'pump alafu watoto watolewe duniani kwa njia za maajabu ajabu tu.. Nimeishi jirani yao kwa kipindi kirefu, yule Mama hatokaa afurahie hili maana hata yeye anahofu na maisha yake. Huyu mama ameamua kukesha akiomba tu, na maombi ndio miaka yote humweka hai la sivyo hata yeye angeshaondoshwa..

Mie sijawahi kuwa karibu nao ila miaka kadhaa iliyopita mtu wao wakaribu alinieleza mambo ya kutisha sana kuhusu huyu jamaa mpaka nikaogopa.
Kyle Chato nako waulizeni watawaeleza kwa nini hawampendi homeboy wao?
Niliwahi kuuliza hapa JF swali la kimtego na hakuna jibu la maana lililotoka, Chato ni eneo lenye mauaji na mashambuli mengi ya Albino kwa nini mbunge wa miaka ishirini hashiriki kupiga vita au kukemea mambo hayo?
Jibu litakuwa wazi siku moja na watu watazimia kwa ukweli
 
Kwa ambao hamfahamu tu.. Huyo Kofuli mnayemwongelea hapa katoa watoto wake wengi tu kafara ili ang'ae kisiasa.. Kafara ya mwisho aliitoa majuzi tu hapa, maiti ikasafirishwa na ndege ya serikali. Huyo Kofuli kwa wasio mjua ni mchawi aliyewiva, kwake Kanisa ni kama Kituo cha Polisi. Wakati anatoa hizo kafara mkewe alikuwa hashirikishwi, hii kesi ilishapelekwa mpaka kwenye ngazi za Ukoo ikajadiliwa.. Huyo mkewe kamwe hawezi kuandamana nae, sababu bado damu za watoto wake zinamuumiza mpaka leo, tena ukizingatia yule mama ni mtu wa maombi sana..

We utakuwa ni house girl wao
 
Dada Josephine Mshumbusi anaililia hiyo nafasi, basi waexchange wake Dr Kasava na dr M4c
 
Nadhani huyu mama ni mwana UKAWA halisi na anataka mabadiliko ya kweli sio "cosmetic". Hivyo ni timu LOWASA hamna na na nyingne sasa.
 
Kuna clip moja maghufuli alikuwa anawaomba wananchi wamtafutie mwanamke wa kizaramo

Hahaaa, that guy is nuts.

Anaweza kusema Wazaramo na Wasukuma watani. Lakini that is controversial for a statesman.
 
Na yeye akiwa kama mwalimu ana machungu na manyanyaso wanayofanyiwa na serikali ya ccm.
 
Mimi nafikiri yuko sawa,as much ni mtumishi wa umma nijuavyo mimi ni kwamba kuna taratibu zake kwenye mambo haya na kwamba ccm sio wajinga hivo wapindishe taratibu ambazo wao wanazisimamia na kama tungemuona majukwaani nafikiri watu mgeandika sana humu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom