Kwa ambao hamfahamu tu.. Huyo Kofuli mnayemwongelea hapa katoa watoto wake wengi tu kafara ili ang'ae kisiasa.. Kafara ya mwisho aliitoa majuzi tu hapa, maiti ikasafirishwa na ndege ya serikali. Huyo Kofuli kwa wasio mjua ni mchawi aliyewiva, kwake Kanisa ni kama Kituo cha Polisi. Wakati anatoa hizo kafara mkewe alikuwa hashirikishwi, hii kesi ilishapelekwa mpaka kwenye ngazi za Ukoo ikajadiliwa.. Huyo mkewe kamwe hawezi kuandamana nae, sababu bado damu za watoto wake zinamuumiza mpaka leo, tena ukizingatia yule mama ni mtu wa maombi sana..
Mkuu kuna mburulaz wengi humu hawamjui huyo mtu, na hawajui tabia za huyo mtu.. Aliyoyafanya kwa mkewe lazima mke imuumize sana. Hawezi akawa anakesha labour ku'pump alafu watoto watolewe duniani kwa njia za maajabu ajabu tu.. Nimeishi jirani yao kwa kipindi kirefu, yule Mama hatokaa afurahie hili maana hata yeye anahofu na maisha yake. Huyu mama ameamua kukesha akiomba tu, na maombi ndio miaka yote humweka hai la sivyo hata yeye angeshaondoshwa..
Nachoshangaa ni yule Albino mpiga vita wa mauwaji ya Albino Henry Mdimu nae anam'support Zee la Kilomita.. Maskini, hajui yeye ndiye mteketezaji mkuu wa ndugu zake..