benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Mfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao