Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Naamini hayatonipata maana sina mchezo kabisa na kumruhusu mtu ajue mambo yangu ya kifedhaMmhhh. Mkuu omba yasikupate.
Naamini hayatonipata maana sina mchezo kabisa na kumruhusu mtu ajue mambo yangu ya kifedhaMmhhh. Mkuu omba yasikupate.
Jee kama staff wa Bank wakahusika?Naamini hayatonipata maana sina mchezo kabisa na kumruhusu mtu ajue mambo yangu ya kifedha
Hahahahah
Mama la mama ...bango moja tu mmekwisha woteSiku akisikia wale top 3 wa nchi wapo kahama abebe bango kwenda nalo mkutanoni Mama alisema bango moja tu viongozi waliopo eneo husika watakuwa hawana kazi kwa kushindwa kutatua kero za wananchi hasa kwa mambo ambayo siyo ya kitaifa
Jee kama staff wa Bank wamefanya changing of mobile number kwenye akaunti ya mama wa kaweka wanayoitaka wao kwa ajili ya kupiga!?
Mteja hapata alerts na huku pesa zinatoka kadri ya limit ya siku inavyoruhusu. Mpk hela yote inaisha.
Na mara nyingi hela inapoisha ndio mteja anagundua au ndio anapewa taarifa
Huu ndio ukweli mchungu ambao wengi hawakubali,Ili ujiunge Nmb mobile ni lazima vitu viwili vihusike,kadi yako ya benki na simu yako,na hapo ni lazima ufike kwenye ATM mashine ili uigize kadi na ujiunge na kuweka namba yako ya siri,sasa kama Mama aliteleza akamwamini mtu baki kumpa kadi na namba zake za siri ili amtolee hela basi hapo ndio alipojichanganya,maana mtu atakutolea hela na atakuletea ila atajiunga na huduma ya simu kwa namba yake.Asilimia 99.999 ya wizi unaofanyika benki kupitia ATM au mobile banking, mhusika mkuu ni mteja mwenyewe. Inasikitisha ila ndiyo hivyo. Wastaafu wengi wepesi sana kuhadaika, kuanzia kwa watu watu wanaomzunguka (ndugu) mpaka kwa matapeli wenyewe. Huyo mama akienda Takukuru huenda akasaidiwa kupata pesa zake. Ila nini imani asilimia 100 benki wako innocent.
Benki mambo hayapo kiholela hivyo..Jee kama staff wa Bank wamefanya changing of mobile number kwenye akaunti ya mama wa kaweka wanayoitaka wao kwa ajili ya kupiga!?
Mteja hapata alerts na huku pesa zinatoka kadri ya limit ya siku inavyoruhusu. Mpk hela yote inaisha.
Na mara nyingi hela inapoisha ndio mteja anagundua au ndio anapewa taarifa
Yes..hii ndo best probable source ya huyu mama kupigwa tunayoweza kuiwaza.Huu ndio ukweli mchungu ambao wengi hawakubali,Ili ujiunge Nmb mobile ni lazima vitu viwili vihusike,kadi yako ya benki na simu yako,na hapo ni lazima ufike kwenye ATM mashine ili uigize kadi na ujiunge na kuweka namba yako ya siri,sasa kama Mama aliteleza akamwamini mtu baki kumpa kadi na namba zake za siri ili amtolee hela basi hapo ndio alipojichanganya,maana mtu atakutolea hela na atakuletea ila atajiunga na huduma ya simu kwa namba yake.
Kwa Pesa hizo mil 24 itamchukua mwizi siku 24 tu kuhamisha kwa njia za simu(kumbuka limit ya kuhamisha kwa simu ni 1,000,000 kwa siku) huku akiwa amekaa kweye kochi na kwenda kuzitoa kwa wakala.
Hapo mwenye akaunti hawezi kupata taarifa yoyote kwamba hela imetoka labda kama awe ameunganishwa kwenye SMS banking(ni huduma tofauti).
Hapo benki sidhani kama ina lawama labda kama kuna mengine tusiyoyajua ambayo yanahusishwa watumishi wa ndani ya benki.
Mimi sijui kwanini watu wanakua so careless na hela zao. Mimi huwa nina account mbili..moja inakua haijaungwa na sim banking wala internet banking na wala haina ATM card..na huko ndio nawekaga akiba yangu. Halafu account ya pili ndio inakua na sim banking na ATM card..hii ndio natumiaga kwa matumizi ya day to day..so mshahara ukiingia huwa hela za akiba na transfer kwenye ile account ya kwanza halafu hii nyingine zinakua zimebaki hela ndogo tu za matumizi. Na uzuri inanipa discpline maana hela za akiba siwezi kuaccess kirahisi..lazma niende bank. Sasa mama huyu pensheni yote kaweka kwenye transactional account? Angeweza hata kutupia kwenye fixed deposit ikamzalishia riba kidogoYes..hii ndo best propable source ya huyu mama kupigwa tunayoweza kuiwaza.
Naamini hii ishu ingekuwa ni benki ndio imehusika wala usingeisikia humu,angerudishiwa hela mara moja baada ya kuripoti maana wanajua jinsi gani itaharibu image yao wateja wakijua kwamba hela zao haziko salamaYes..hii ndo best propable source ya huyu mama kupigwa tunayoweza kuiwaza.
...I we ni Uzembe ama la sio issue. Issue hapa kwamba Mama Mstaafu amribiw Milioni 24 take kutoks akaunti take NMB.Nmb mobile Ina namba ya Siri na Kila kinachofanyika mhusika hupata taarifa . Huenda mama alimuachia mtu simu na namba ya Siri akampa . Kila wakati Benki na polisi wanajitahidi kuelimisha kuhusu namba ya Siri . Kuna uzembe uliofanyika ama wa mama au Benki .
...maneno maNne tu makuubwa...NMB WAMENIIBIA HELA ZANGU....uone kitim Tim!!Mama la mama ...bango moja tu mmekwisha wote
Sahihi kabisa Mkuu wa Wilaya ya Kahama ni Mr Macha mbona sasa hivi ataamka nalo na km ni mtoto aliyekimbilia Dodoma au ni mwizi atarudishwa na pesa wataitapika.Kwanini haya madai yasipelekwe mahala sahihi kama kweli kadhulumiwa akapewe haki yake, aanzie kwa mkuu wa wilaya ikibidi, nadhani huyo mama alikuwa mwalimu kama alikopa hao jamaa ndio wakachukua pesa yake juu kwa juu hiyo ndio tabia yao.
Akishindwa hapo aende ofisi za Takukuru watamsaidia.
Either mama ka share Mobile banking password na jamaa zake wa karibu na ndio wamemliza. Or bank staff wamefanya yao. Najua kama staff wa Bank hawapewi excess kiarahisi za kulink lkn pindi wakipewa wapo wanaozitumia vibaya.Staff wa bank hapewi hizo access kwa urahisi kama unavyofikiria... makosa kayafanya mama mwenyewe ndio maana mtoa uzi haelezi kwa undani wala hajibu hoja za watu tuliowahi fanya kazi bank.. sababu tunajua hawezi kutudanganya...
Ulichosema ni possible.Benki mambo hayapo kiholela hivyo..
Probably huyu maana alijiunga na simbanking bila ya yeye kujua kinachofanyika na namba ikawekwa ambayo siyo yake.
Toa namba ya simu ya mama hapa tumsalimie au hata kapicha kake ili tumwombeeMwanamke mmoja mkazi wa Kahama mjini (Mstaafu)kwa jina Maghdalena Petro Kayilà,aliibiwa Fedha zake zote pale NMB Kahama kiasi cha million 24
Wizi iliotumika ni Fedha kuhamishwa kwa njia NMB Mobile kupitia laini ya Tigo.
Fedha zilipoisha Benki ndio akapewa taarifa na Uongozi wa Bank ya NMB Kahama Branch.
Kwa kifupi Uongozi wa NMB Kahama, Polisi Wilaya ya Kahama haijampa ushirikiano Mama yule hivyo kusababisha Mama yule kuishi maisha ya kifukara hadi leo.
Kuna baadhi ya Watuhumiwa walikamatwa na kuachiwa bila Mama yule kuwaona.
Mmoja ni mkazi wa Dodoma,Mwingine ni Mwalimu Segese na mwingine ni Mwalimu wilaya ya Ushetu.
Kwasababu Mama huyu hana Fedha za kufuatilia kesi hii, Serikali imetulia na hakuna kinachoendelea hadi leo.
Kumekuwa na vitendo vya Wizi kama huu NMB Kahama wakiibiwa wastaafu.
Niishauri Serikali kulifatilia hili maana wastaafu wanateseka sana.
Manager Branch bwana Chacha baada ya tuhuma, alihamishwa Kituo cha kazi na kupelekwa Mpanda.
Serikali fatilieni hili.