denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kwanini haya madai yasipelekwe mahala sahihi kama kweli kadhulumiwa akapewe haki yake, aanzie kwa mkuu wa wilaya ikibidi, nadhani huyo mama alikuwa mwalimu kama alikopa hao jamaa ndio wakachukua pesa yake juu kwa juu hiyo ndio tabia yao.
Akishindwa hapo aende ofisi za Takukuru watamsaidia.
Akishindwa hapo aende ofisi za Takukuru watamsaidia.