Mama aibiwa mafao yake yote NMB Kahama

Kwanini haya madai yasipelekwe mahala sahihi kama kweli kadhulumiwa akapewe haki yake, aanzie kwa mkuu wa wilaya ikibidi, nadhani huyo mama alikuwa mwalimu kama alikopa hao jamaa ndio wakachukua pesa yake juu kwa juu hiyo ndio tabia yao.

Akishindwa hapo aende ofisi za Takukuru watamsaidia.
 
Chama cha wanasheria hebu ligeukieni hili.
Mil 24 kutapeliwa kwa mobile banking!! Laah
Inawezekana kabisa, tena utakuta yeye mwenyewe kahusika! Ukiwauliza bankers watakwambia namna wateja wanavyopigwa kwa uzembe wao wenyewe.
 
Sitaki kuhukumu lakini kuna uwezekano Mama katapeliwa na si kwamba kaibiwa.

Yaani huenda alihusishwa na Watu wake wa karibu bila ya yeye kujua kinachoendelea.
 
  • Thanks
Reactions: efn
Nmb mobile Ina namba ya Siri na Kila kinachofanyika mhusika hupata taarifa . Huenda mama alimuachia mtu simu na namba ya Siri akampa . Kila wakati Benki na polisi wanajitahidi kuelimisha kuhusu namba ya Siri . Kuna uzembe uliofanyika ama wa mama au Benki .
Siyo kweli huu wizi upo sana nmb kwa kifupi mama atoe taarifa bot na polisi huu wizi sio wa kwanza kufanyika wakishazimaliza nmb ndio wanatoa taarifa kwa mwenye akaunti
 
NMB nimeshasikia sana malalamiko watu wengi kuibiwa fedha zao NMB
Nmb ndiyo nasikia leo, tulizoea kusikia crdb......lazima kuna maelezo ya ziada zaidi ya haya, sidhani kama kuna Benki Tz unaweza kutoa kiasi hicho kwa mara moja
 
Mwanamke mmoja mkazi wa Kahama mjini (Mstaafu)kwa jina Maghdalena Petro Kayilà,aliibiwa Fedha zake zote pale NMB Kahama kiasi cha million 24

Wizi iliotumika ni Fedha kuhamishwa kwa njia NMB Mobile kupitia laini ya Tigo.

Fedha zilipoisha Benki ndio akapewa taarifa na Uongozi wa Bank ya NMB Kahama Branch.

Kwa kifupi Uongozi wa NMB Kahama, Polisi Wilaya ya Kahama haijampa ushirikiano Mama yule hivyo kusababisha Mama yule kuishi maisha ya kifukara hadi leo.

Kuna baadhi ya Watuhumiwa walikamatwa na kuachiwa bila Mama yule kuwaona.

Mmoja ni mkazi wa Dodoma,Mwingine ni Mwalimu Segese na mwingine ni Mwalimu wilaya ya Ushetu.

Kwasababu Mama huyu hana Fedha za kufuatilia kesi hii, Serikali imetulia na hakuna kinachoendelea hadi leo.

Kumekuwa na vitendo vya Wizi kama huu NMB Kahama wakiibiwa wastaafu.

Niishauri Serikali kulifatilia hili maana wastaafu wanateseka sana.

Manager Branch bwana Chacha baada ya tuhuma, alihamishwa Kituo cha kazi na kupelekwa Mpanda.

Serikali fatilieni hili.
Haya yalifanyika kipindi cha utawala gani? Awamu ya tano au sita? Mnyonge alitapeliwaje awamu ya 5? Maajabu!
 
Mwanamke mmoja mkazi wa Kahama mjini (Mstaafu)kwa jina Maghdalena Petro Kayilà,aliibiwa Fedha zake zote pale NMB Kahama kiasi cha million 24

Wizi iliotumika ni Fedha kuhamishwa kwa njia NMB Mobile kupitia laini ya Tigo.

Fedha zilipoisha Benki ndio akapewa taarifa na Uongozi wa Bank ya NMB Kahama Branch.

Kwa kifupi Uongozi wa NMB Kahama, Polisi Wilaya ya Kahama haijampa ushirikiano Mama yule hivyo kusababisha Mama yule kuishi maisha ya kifukara hadi leo.

Kuna baadhi ya Watuhumiwa walikamatwa na kuachiwa bila Mama yule kuwaona.

Mmoja ni mkazi wa Dodoma,Mwingine ni Mwalimu Segese na mwingine ni Mwalimu wilaya ya Ushetu.

Kwasababu Mama huyu hana Fedha za kufuatilia kesi hii, Serikali imetulia na hakuna kinachoendelea hadi leo.

Kumekuwa na vitendo vya Wizi kama huu NMB Kahama wakiibiwa wastaafu.

Niishauri Serikali kulifatilia hili maana wastaafu wanateseka sana.

Manager Branch bwana Chacha baada ya tuhuma, alihamishwa Kituo cha kazi na kupelekwa Mpanda.

Serikali fatilieni hili.
Aende kwa waziri wa katiba na Sheria.
Au amuandikie barua Rais moja kwa moja
 
Hizi issue huwa nazisikia sana zikiwatokea wazee wetu. Jamani tuweni makini, usikubali kumpa mtu simu yako akufanyie usajili wa nmb Mkononi au kumpatia mtu password yako.. Ni bora mtu uingie tu ndani ya tawi maafisa wa benki wakusaidie kujisajili. Pole sana kwa mama yetu naamini vyombo vya sheria vitashughulikia wahalifu waliomliza
 
Mwanamke mmoja mkazi wa Kahama mjini (Mstaafu)kwa jina Maghdalena Petro Kayilà,aliibiwa Fedha zake zote pale NMB Kahama kiasi cha million 24

Wizi iliotumika ni Fedha kuhamishwa kwa njia NMB Mobile kupitia laini ya Tigo.

Fedha zilipoisha Benki ndio akapewa taarifa na Uongozi wa Bank ya NMB Kahama Branch.

Kwa kifupi Uongozi wa NMB Kahama, Polisi Wilaya ya Kahama haijampa ushirikiano Mama yule hivyo kusababisha Mama yule kuishi maisha ya kifukara hadi leo.

Kuna baadhi ya Watuhumiwa walikamatwa na kuachiwa bila Mama yule kuwaona.

Mmoja ni mkazi wa Dodoma,Mwingine ni Mwalimu Segese na mwingine ni Mwalimu wilaya ya Ushetu.

Kwasababu Mama huyu hana Fedha za kufuatilia kesi hii, Serikali imetulia na hakuna kinachoendelea hadi leo.

Kumekuwa na vitendo vya Wizi kama huu NMB Kahama wakiibiwa wastaafu.

Niishauri Serikali kulifatilia hili maana wastaafu wanateseka sana.

Manager Branch bwana Chacha baada ya tuhuma, alihamishwa Kituo cha kazi na kupelekwa Mpanda.

Serikali fatilieni hili.
Wezi wa namna hii umekithiri Sana mikoani na na mara nyingi wafanyakazi wa Bank hushiriki wao binafsi au huwashirikisha watu wa hazina kutekeleza unyama huu,
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Wanakula dili na customer care hao wapuuzi,
Laini ya simu yako akiishika mtu mwingine anaweza kufanya upuuzi wowote ule anao jisikia kwa kushilikiana na Customer care wa mtandao husika.

Watu wamelizwa sana, unampa mtu simu yako au laini yako akidai anakuungia vifurushi vya chuo.
Nakwambia ndani ya dakika 3 tu unakuwa usha kombwa pesa kila account.
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Jee kama staff wa Bank wamefanya changing of mobile number kwenye akaunti ya mama wa kaweka wanayoitaka wao kwa ajili ya kupiga!?

Mteja hapata alerts na huku pesa zinatoka kadri ya limit ya siku inavyoruhusu. Mpk hela yote inaisha.

Na mara nyingi hela inapoisha ndio mteja anagundua au ndio anapewa taarifa
 
Back
Top Bottom