Mama aibiwa mafao yake yote NMB Kahama

Mama aibiwa mafao yake yote NMB Kahama

Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Unatumia NMB mobile?
Milion 24 inawezekana kuhamisha kidogo kidogo kila siku
 
Mwanamke mmoja mkazi wa Kahama mjini (Mstaafu)kwa jina Maghdalena Petro Kayilà,aliibiwa Fedha zake zote pale NMB Kahama kiasi cha million 24

Wizi iliotumika ni Fedha kuhamishwa kwa njia NMB Mobile kupitia laini ya Tigo.

Fedha zilipoisha Benki ndio akapewa taarifa na Uongozi wa Bank ya NMB Kahama Branch.

Kwa kifupi Uongozi wa NMB Kahama, Polisi Wilaya ya Kahama haijampa ushirikiano Mama yule hivyo kusababisha Mama yule kuishi maisha ya kifukara hadi leo.

Kuna baadhi ya Watuhumiwa walikamatwa na kuachiwa bila Mama yule kuwaona.

Mmoja ni mkazi wa Dodoma,Mwingine ni Mwalimu Segese na mwingine ni Mwalimu wilaya ya Ushetu.

Kwasababu Mama huyu hana Fedha za kufuatilia kesi hii, Serikali imetulia na hakuna kinachoendelea hadi leo.

Kumekuwa na vitendo vya Wizi kama huu NMB Kahama wakiibiwa wastaafu.

Niishauri Serikali kulifatilia hili maana wastaafu wanateseka sana.

Manager Branch bwana Chacha baada ya tuhuma, alihamishwa Kituo cha kazi na kupelekwa Mpanda.

Serikali fatilieni hili.
"Mtamkumbuka" na kila baada ya miezi mitatu alikuwa anapita hapa Kahama kusikiliza kero za wananchi.
 
Sijajua NMB Tanzania wanakwama wapi ,mara nyingi Bank wana mifumo ambayo ina detect abnormal transactions ,sasa ushawahi kuona wapi mtu ana draw 24 mils zote kwa Sim Banking? Yaani hapo wazi kuna fraud....Nawashauri NMB waboreshe mifumo yao,watu wa kitengo cha risk management wawe na system ambayo inawapa sms alert kwa account yeyote ambayo itakuwa inafanya abnormal transactions na wawe na remote access the system na kuweza kublock account instantly mpaka mwenyewe avisit bank kuconfirm kama hizo transaction ni sahihi.

Waweke limit mtu akitransfer zaidi ya mili 3 kwenye sim bank itoe alert na waiblock kisha wampigie customer kuhakiki kama hiyo miamala anaitambua ,hiyo ndio huduma kwa wateja sio wanakaa mpaka account inakuwa zero ndio wanamtaarifu mteja.
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Imeeleza hapo kuwa, 'fedha zilipoisha', jiongeze kidogo, ina maana zilikuwa zinachotwa kidogo kidogo.
 
Nmb mobile Ina namba ya Siri na Kila kinachofanyika mhusika hupata taarifa . Huenda mama alimuachia mtu simu na namba ya Siri akampa . Kila wakati Benki na polisi wanajitahidi kuelimisha kuhusu namba ya Siri . Kuna uzembe uliofanyika ama wa mama au Benki .
Tatizo walimu wengi hukabidhi hadi ATM na namba za siri kwa wakopeshaji yawezekana naye no mmojawapo
 
Nmb mobile Ina namba ya Siri na Kila kinachofanyika mhusika hupata taarifa . Huenda mama alimuachia mtu simu na namba ya Siri akampa . Kila wakati Benki na polisi wanajitahidi kuelimisha kuhusu namba ya Siri . Kuna uzembe uliofanyika ama wa mama au Benki .
Nadhani huwa wanawakopesha pesa,mdai kupewa kadi na namba ya siri....nadhani wizi ulianzia hapa.
 
Sijajua NMB Tanzania wanakwama wapi ,mara nyingi Bank wana mifumo ambayo ina detect abnormal transactions ,sasa ushawahi kuona wapi mtu ana draw 24 mils zote kwa Sim Banking? Yaani hapo wazi kuna fraud....Nawashauri NMB waboreshe mifumo yao,watu wa kitengo cha risk management wawe na system ambayo inawapa sms alert kwa account yeyote ambayo itakuwa inafanya abnormal transactions na wawe na remote access the system na kuweza kublock account instantly mpaka mwenyewe avisit bank kuconfirm kama hizo transaction ni sahihi.

Waweke limit mtu akitransfer zaidi ya mili 3 kwenye sim bank itoe alert na waiblock kisha wampigie customer kuhakiki kama hiyo miamala anaitambua ,hiyo ndio huduma kwa wateja sio wanakaa mpaka account inakuwa zero ndio wanamtaarifu mteja.
Hio mihamala imefanyika mara kadhaa Sio 22M at a time
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Soma tena kama haujamwelewa mleta mada, amesema fedha zilihamishwa kupitia laini ya tigo na zilipoisha... maanake halikuwa tukio la mara moja, kuhusu namba ya siri hilo ni jambo dogo sana boss, endapo system admin wa benk husika akiamua kucheza huo mchezo.
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Amesema baada ya kukamilisha wizi mama ndipo akipopewa taarifa
 
NMB nimeshasikia sana malalamiko watu wengi kuibiwa fedha zao NMB
NMB ni benki ya ovyo sana kwenye usalama wa fedha za wastaafu, maeneo mengi wastaafu wameibiwa kupitia NMB mobile na hawatoi ushirikiano ipasavyo nashauri ukiona unampango wa hela nyingi za mafao fungua account mpya benki nyingine, huku niliko kuna mwalimu kapigwa mil 10 mtindo huo huo
 
Hapa kuna namna.
Huduma ya kukamisha kwa simu huwa haizidi 1m kwa siku.
ina maana imehamishwa kwa siku 24 kila siku 1m
 
NMB nimeshasikia sana malalamiko watu wengi kuibiwa fedha zao NMB
Niliwahi kuta Account yangu ina pungufu kama milioni 1. Nilivyoenda kuuliza wakanijibu wameona kuna mtu ametoa ela kwa njia ya Simu. Niandike barua ya malalamiko wao watashugulikia ila tayari wana lundo la malalamiko kama yangu.

Nilihamisha mshiko uliobaki na kutimkia CRDB.
 
Hio mihamala imefanyika mara kadhaa Sio 22M at a time

Yes najua kufanya miamala ya zaidi ya 20m kwenye simu ni abnormal transactions hizo ,mtu mwenye more than 20m kufanya aina moja ya transaction kuna possibility ya fraud,hata kama alikuwa anatoa mil 2 mbili kwa siku ,system ilitakiwa idetect hiyo miamala.
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Tuwaambie wastaafu wasikubali maelekezo ya kusaidiwa kupokea fedha za mafao nje ya mfumo rasmi ama kupitia mwajiri wako wa zamani, benki y'ako ,hazina au mfuko walk na Kama Luna Jimbo kufanya hufanyika ofisini na kuidhinishwa watumishi wa taasisi(boss)uso kwa uso. usikubali kamwe kupitia simu au mtandao, unless Kama unamfahamu anayetaka kukusaidie.
 
Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
ZINAHAMISHWA AISEE JKUNA KESI TUNAENDELEA NAYO
WANAHAMISHA KIDOGO KIDOGO UKIJASHTUKA HAMNA HELA
 
Back
Top Bottom