ok nitafuatilia...enhee wanasemaje watoto wazuri babati hapo?NMB nimeshasikia sana malalamiko watu wengi kuibiwa fedha zao NMB
Sawa CEO NMBok nitafuatilia...enhee wanasemaje watoto wazuri babati hapo?
Utakuta hao wastaafu wanawatumia watoto wao au wajukuu zao kwa kuwapatia neno la siri.Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu
Hivi inawezekana vipi mtu na akili zako fedha zinahamishwa bila wewe kujua?NMB nimeshasikia sana malalamiko watu wengi kuibiwa fedha zao NMB
Hahahahahahahahahahahahahahah........
Hahahahahahahahahahahaha.........By the way, 24m ni mafao yake yote au sehemu ya mafao yake?.
Hilo nalo ni swali zuri[emoji23][emoji23][emoji23]By the way, 24m ni mafao yake yote au sehemu ya mafao yake?.
Pole zake.Ila kama kaibiwa zote,mbona ni kidogo sana?Au alisha kopa kopa?Mwanamke mmoja mkazi wa Kahama mjini (Mstaafu)kwa jina Maghdalena Petro Kayilà,aliibiwa Fedha zake zote pale NMB Kahama kiasi cha million 24
Wizi iliotumika ni Fedha kuhamishwa kwa njia NMB Mobile kupitia laini ya Tigo.
Fedha zilipoisha Benki ndio akapewa taarifa na Uongozi wa Bank ya NMB Kahama Branch.
Kwa kifupi Uongozi wa NMB Kahama, Polisi Wilaya ya Kahama haijampa ushirikiano Mama yule hivyo kusababisha Mama yule kuishi maisha ya kifukara hadi leo.
Kuna baadhi ya Watuhumiwa walikamatwa na kuachiwa bila Mama yule kuwaona.
Mmoja ni mkazi wa Dodoma,Mwingine ni Mwalimu Segese na mwingine ni Mwalimu wilaya ya Ushetu.
Kwasababu Mama huyu hana Fedha za kufuatilia kesi hii, Serikali imetulia na hakuna kinachoendelea hadi leo.
Kumekuwa na vitendo vya Wizi kama huu NMB Kahama wakiibiwa wastaafu.
Niishauri Serikali kulifatilia hili maana wastaafu wanateseka sana.
Manager Branch bwana Chacha baada ya tuhuma, alihamishwa Kituo cha kazi na kupelekwa Mpanda.
Serikali fatilieni hili.
Rudia kusomaHivi inawezekana vipi mtu na akili zako fedha zinahamishwa bila wewe kujua?
Vip arifu mbona kicheko while hata havichekeshi?[emoji849]Hahahahahahahahahahahaha.........
Asilimia 99.999 ya wizi unaofanyika benki kupitia ATM au mobile banking, mhusika mkuu ni mteja mwenyewe. Inasikitisha ila ndiyo hivyo. Wastaafu wengi wepesi sana kuhadaika, kuanzia kwa watu watu wanaomzunguka (ndugu) mpaka kwa matapeli wenyewe. Huyo mama akienda Takukuru huenda akasaidiwa kupata pesa zake. Ila nini imani asilimia 100 benki wako innocent.Laini ya tigo pesa haiwezi kuiba milioni 20 mara moja, kiasi kina mwisho.. pili mtu hawezi hamisha pesa kwa sim banking bila namba ya siri kuijua . Mama atakuwa amefanya uzembe sehemu