mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
ZINAA HULETA UFUKARA,,,NDOA HAILETI UFUKARA,,,BALI MKE MBOVU NDY HULETA UFUKARA,,,,Watu wengi wanashindwa kujuwa kwamba1+1=2,,.kuwa makini kwenye kutafuta MKE,,,,unaweza ukawa FUKARA baada ya KUOA,,,na unaweza UKAWA NA MAFANIKIO BAADA YA KUOA,,,, inategemea na UMEOA Mke wa aina gani ,,,,VAMPIRE? AU MKE?Malumbano ya hoja;; je, kuoa kabla hujafanikiwa ki maisha je, hii huchangia kua maskini, Daima? Tililika mtanzania
Sent using Jamii Forums mobile app