Malumbano ya hoja;; je, kuoa kabla hujafanikiwa ki maisha je, hii huchangia kua maskini, Daima? Tililika mtanzania

Mimi sio mtabiri, ila amin nakuambia ""MAAMUZI YAKO YAJANA ,NDIO YAMEKUFANYA UWE HAPO ULIPO SASA HIVI""".

Ukiona , Unaogopa kuoa sababu unaona hujayapatia maisha, Basi ujue Jana yako ulifanya uzembe wa kuyatafuta hayo maisha.

Hata ivo , Mwanamke ni msaidizi , na neno msaidizi ukilitizama ktk Muktadha wa maisha kwa ujumla wake, utagundua kua "Ukipata mke mwema, aina ya unaumwa kichwa kisha anakuambia " Baby jitahidi meza DAWA HIZI alafu uende kazin, kama hali itakua mbaya nijulishe nije twende hosptal" ......... Huyu Utatusua naye Laifu hata km ndo unaanza maisha.


Lkn ukikutana nahawa wa ""Baby sasa kichwa kinauma ,uende kazin? Hujionei huruma? Embu baki nyumban ,nikutengezee chai, kisha tutombanee wee mpaka jioni""..Bro , Wewe na umasikin mtakua marafiki.
duu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi ninaamini arranged marriage... muwe maskini au matajiri mtaishi muda mrefu..

ndoa za wahaya kwa wahaya hazivunjiki kiurahisi,wachaga kwa wachaga, mzaramo kwa mzaramo, ndoa za watu mliokulia culture moja.. hizo zinamudu shida
Mkuu wapo visebengo watabisha,ulichokisema ndio siri ya mafanikio katika ndoa. Hata biblia inasema msifungiwe nira na asiyeamini. Yaani muwe watu wenye Imani moja. Imani ipo hata kwenye culture zetu. Ubarikiwe kwa comment mkuu
 
Haya mambo bwana hayana fomula. Tena kwang mm ni bora uoe ukiwa haujafanikiwa sana maana ukifanikiwa sana ukaja kuoa chance ya kukutana na atakayekufilisi nayo ni kubwa sana. Unaweza ukakutana na mwanamke ambaye yy matumiz yake ni always high na anapenda vitu vya juu wewe utajikuta ulikuwa labda unajinyima ndo ukafika hatua uliyofikia sasa mwenzio mtumiaj sana hapo utakachokutana nacho hapo mbelen utakijua mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom