... anasubiria taarifa rasmi ofisini kwake.Kwani Hussein Bashe hajasikia kuwa nchi ya Kenya imeyakataa mahindi ya Tanzania kwamba yana sumu?!
Wewe ni kibarua au unafanya kazi gn hapa tanzania?!,watu mnafikra mbilikimo na akili zenye matege,Kawadanyanga, hawatafanya chochote. Kufanya biiashala Tanzania nikujitia hasala na plesha tu isiyo ya lazima
Leta hoja na si kukimbilia kupanua gaguloMarch 5, 2021 ni zamani? Mapenzi yakizidi unaweza kuwa zoba.
Na Uganda nayenywe unataka kusemaje?...midomo ya wanasiasa ndo imetufikisha hapo majigambo ya kishamba kwenye mambo ya msingi kama haya haitakiwi....kwa zuio hili tunapaswa kujitathimini mienendo yetu na majirani zetu tunaumiza wafanya biashara wetu
Wanegotiate kuwaua raia indirectlyviongozi wa kitaifa wanaweza kufanya mazungumzo hata kupitia "zoom meeting" na kusawazisha mambo kama haya. Sijui hata wanafeli
According to a letter by the acting Director-General of the Agriculture and Food Authority, Kello Harsama to Pamela Ahago, the Commissioner of Customs in the Kenya Revenue Authority, the imports should stop after a survey conducted indicated maize from the two countries is not fit for human consumption.
Sasa kama mahindi haya hayafai kwa matumizi ya binadamu, kwa nini sisi tunaedelea kula?
Naomba ufafanuzi tafadhali
Hapo umejibu kwa kutumia chuki na uongo .always jibu kwa kutafuta solution siyo tuhuma au kulaumuTangu lini Serikali ya Tanzania imekuwa na huruma na raia wake?
Umeonaeee?Sawa tu yarudishwa, wanaogopa kupelekewa korona
Mbona mlivyo choma vigaranga vyao hamkuwaomba radhi?Huo ni ujinga wako, wafanye mazungumzo gani sasa?
Wazungumze ili sumu iendelee kwenda kenya?
Cha kufanya ni kukagua mahindi kama yana sumu, na kama hayana basi serrikari itafute soko sehemu ingine na siku wakija kutaka kununua inabidi walipe na fidia za usumbufu pia watangaze kuwa wakuongea uongo.
Mlivyo choma vigaranga vyao mliwapigia simu kufanya nao mazungumzo?Mkuu, kupitia mazungumzo hata kwa njia ya simu ndipo ambapo muafaka wa kuweza kukagua upya shehena za mahindi kabla ya kuingia nchini Kenya utapatikana. Ni ujinga kufikiria kuweza kupata ufumbuzi wa mgogoro huu nje ya kutokuwepo kwa mazungumzo ya pande hizi mbili.
Na ikibidi tutayakoboa kwa meno tu... tuleteeni tuyale kama zile korosho! Serikali iyagawe mashuleni huko.
Tulichoma vifaranga vya kuku vilivyoingia bila kubali, hata wao kama watakamata mahindi hayana kibali na kuyachoma sisi hatuna shida maana mkulima ameshalipwaMbona mlivyo choma vigaranga vyao hamkuwaomba radhi?
Mbona mnahangaika sana?kwani soko lipo kwao tu?Tulichoma vifaranga vya kuku vilivyoingia bila kubali, hata wao kama watakamata mahindi hayana kibali na kuyachoma sisi hatuna shida maana mkulima ameshalipwa
Na msafilishaji alitakiwa afate sheria za kusafirisha.
Hawa wakenya watakuja kufa na njaa kwa jeuri zao.. maana chakula chenyewe hawanaNaibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akiwa na Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS) Yusufu Ngenya, pamoja na mkuu wa kitengo cha Afya ya mimea, katika mpaka wa Namanga, ambapo kwa pamoja wameonekana kushangazwa kwa kuzuiliwa kwa malori 25 ya shehena ya Mahindi kutoka Tanzania.
Hata hivyo Bashe akawatoa wasiwasi wafanyabiashara ya mazao nchini kwa kusema Serikali inalifanyia kazi jambo hilo kwa uzito wa kutosha na kwa sasa wawe watulivu huku akitoa wito kwa serikali ya Kenya kutoa taarifa ya zuio hilo kwa utaratibu rasmi.
Chimbuko la sakata hili ni barua iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa ni kutoka Serikali ya Kenya kuzuia mahindi ya Tanzania na Uganda kuingia Tanzania.
View attachment 1719338
EATV