Malori 25 ya Mahindi yazuiliwa kuingia Kenya

... tuleteeni tuyale kama zile korosho! Serikali iyagawe mashuleni huko.
 
Sioni la ajabu hata kidogo:

1) Kama barakoa kutoka nje zina virusi vya korona basi ni marufuku kuingia Bongo!

2) Mahindi yetu yasipofaa kwa matumizi ya chakula cha binadam ni marufuku pia kuyauza kwa ndugu zetu majirani!
 
...midomo ya wanasiasa ndo imetufikisha hapo majigambo ya kishamba kwenye mambo ya msingi kama haya haitakiwi....kwa zuio hili tunapaswa kujitathimini mienendo yetu na majirani zetu tunaumiza wafanya biashara wetu
Na Uganda nayenywe unataka kusemaje?
 
According to a letter by the acting Director-General of the Agriculture and Food Authority, Kello Harsama to Pamela Ahago, the Commissioner of Customs in the Kenya Revenue Authority, the imports should stop after a survey conducted indicated maize from the two countries is not fit for human consumption.

Sasa kama mahindi haya hayafai kwa matumizi ya binadamu, kwa nini sisi tunaedelea kula?

Naomba ufafanuzi tafadhali
 
Tangu lini Serikali ya Tanzania imekuwa na huruma na raia wake??

Nilihacha kuwaamini tangu walipokula rambi rambi uko arusha, walipokula michango ya tetrmeko uko kagera, walipovunja makazi halali uko kimara,

sasa wadhani hii taharifa ya mahindi kuwa na sumu kubainikia kenya wadhan Tanzania hawajui au wahisi wameanza kulichunguza hilo.

Endelea kuwaamini ccm walinde maslai yako.
According to a letter by the acting Director-General of the Agriculture and Food Authority, Kello Harsama to Pamela Ahago, the Commissioner of Customs in the Kenya Revenue Authority, the imports should stop after a survey conducted indicated maize from the two countries is not fit for human consumption.

Sasa kama mahindi haya hayafai kwa matumizi ya binadamu, kwa nini sisi tunaedelea kula?

Naomba ufafanuzi tafadhali
 
Huo ni ujinga wako, wafanye mazungumzo gani sasa?

Wazungumze ili sumu iendelee kwenda kenya?

Cha kufanya ni kukagua mahindi kama yana sumu, na kama hayana basi serrikari itafute soko sehemu ingine na siku wakija kutaka kununua inabidi walipe na fidia za usumbufu pia watangaze kuwa wakuongea uongo.
Mbona mlivyo choma vigaranga vyao hamkuwaomba radhi?
 
Mkuu, kupitia mazungumzo hata kwa njia ya simu ndipo ambapo muafaka wa kuweza kukagua upya shehena za mahindi kabla ya kuingia nchini Kenya utapatikana. Ni ujinga kufikiria kuweza kupata ufumbuzi wa mgogoro huu nje ya kutokuwepo kwa mazungumzo ya pande hizi mbili.
Mlivyo choma vigaranga vyao mliwapigia simu kufanya nao mazungumzo?

Wacha matukio yaendelee kuchukua nafasi yao.
 
Mbona mlivyo choma vigaranga vyao hamkuwaomba radhi?
Tulichoma vifaranga vya kuku vilivyoingia bila kubali, hata wao kama watakamata mahindi hayana kibali na kuyachoma sisi hatuna shida maana mkulima ameshalipwa
Na msafilishaji alitakiwa afate sheria za kusafirisha.
 
Tulichoma vifaranga vya kuku vilivyoingia bila kubali, hata wao kama watakamata mahindi hayana kibali na kuyachoma sisi hatuna shida maana mkulima ameshalipwa
Na msafilishaji alitakiwa afate sheria za kusafirisha.
Mbona mnahangaika sana?kwani soko lipo kwao tu?
Nyie ni matajiri yanunueni hayo mahindi ili muwapatie wanyama /mifugo tu.
 
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akiwa na Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS) Yusufu Ngenya, pamoja na mkuu wa kitengo cha Afya ya mimea, katika mpaka wa Namanga, ambapo kwa pamoja wameonekana kushangazwa kwa kuzuiliwa kwa malori 25 ya shehena ya Mahindi kutoka Tanzania.

Hata hivyo Bashe akawatoa wasiwasi wafanyabiashara ya mazao nchini kwa kusema Serikali inalifanyia kazi jambo hilo kwa uzito wa kutosha na kwa sasa wawe watulivu huku akitoa wito kwa serikali ya Kenya kutoa taarifa ya zuio hilo kwa utaratibu rasmi.

Chimbuko la sakata hili ni barua iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa ni kutoka Serikali ya Kenya kuzuia mahindi ya Tanzania na Uganda kuingia Tanzania.

View attachment 1719338


EATV
Hawa wakenya watakuja kufa na njaa kwa jeuri zao.. maana chakula chenyewe hawana
 
Back
Top Bottom