Malori 25 ya Mahindi yazuiliwa kuingia Kenya

Mbona mnahangaika sana?kwani soko lipo kwao tu?
Nyie ni matajiri yanunueni hayo mahindi ili muwapatie wanyama /mifugo tu.
Unashabikia tabia za kichawi kumuonea jirani yako wivu na kusingizia vitu ambavyo havipo kwa kuwa anakuzidi uwezo?
Mi nadhani kwa kiwango cha uelewa wako kutakuwa na mmoja kama sio wote wazazi wako ni wachawi
Kenya kama walikuwa haeataki mahindi yetu wangesema kwa uwazi bila kuongeza uongo wa sumu, na hakuna mtu angewalazimisha.
 
Unashabikia tabia za kichawi kumuonea jirani yako wivu na kusingizia vitu ambavyo havipo kwa kuwa anakuzidi uwezo?
Mi nadhani kwa kiwango cha uelewa wako kutakuwa na mmoja kama sio wote wazazi wako ni wachawi
Kenya kama walikuwa haeataki mahindi yetu wangesema kwa uwazi bila kuongeza uongo wa sumu, na hakuna mtu angewalazimisha.
Basi wacheni kulazimisha na kupiga mayowe,rudisheni tu yanini kuendelea kulialia?
 
Ninachokiona mimi ni kwamba kama kuna siasa fulani hivi maana kenya wamekuwa waki import mahindi muda mrefu sana toka tz sasa hiyo sumu ndo wameiona leo au cku za nyuma hakukuwa na hiyo kigundua sumu? Anyway kama kuna uwezekano wa kupata soko maeneo mengine tutafute ila ninaimani hawana miaka mitatu minne hv watahitaj hiyo mahind na cc tutawaambia kuwa yako full of aflatoxins and HIVILIZED cjui watasemaje
 
Bashe nimekushauri. Jiongeze ,muite waziri wa Kilimo mwenyewe Prof. Adolf Mkenda, ashughulikie sakata hilo ataliweza.
Pili kuuza mahindi kenya ni sawa na kuuza makanikia ya dhahabu nje ya nchi.
Naunga mkono sentensi ya mwisho
 
Back
Top Bottom