kamonga
Senior Member
- Feb 13, 2008
- 170
- 34
Baada ya kusikia mitaani kua eti wafungwa wanatakiwa kulipwa pesa kadhaa kwa ajili ya shughuli za uzalishaji wanazofanya pindi wawapo gerezani, ikanibidi niulize locally na kugundua ni shilingi mmoja kwa siku moja( tafadhali nisahihisheni kama nimekosea) hivyo wakifanya kazi mwaka yaani siku 365 na robo ni sh 365 tsh ndo wanazolipwa........
swali ni:- je fedha hii ya ujira ni halali ukilinganisha na pato linalotokana na jasho lao?
Je ni kweli wanalipwa hata hizo senti?
Je kama walipwi hebu fikiria wafungwa wapo wangapi, wamekaa miaka mingapi?
na Je ambae amebana pesa hizo ni kiasi gani over the years?
na ninani haswa?
chemsha bongo jamani.......wana JF
swali ni:- je fedha hii ya ujira ni halali ukilinganisha na pato linalotokana na jasho lao?
Je ni kweli wanalipwa hata hizo senti?
Je kama walipwi hebu fikiria wafungwa wapo wangapi, wamekaa miaka mingapi?
na Je ambae amebana pesa hizo ni kiasi gani over the years?
na ninani haswa?
chemsha bongo jamani.......wana JF