Mali, Pesa na Nyumba. Vya (Baba & Mama/ Mke)

Duuh Kweli tunatofautiana, mimi binafsi mali ya urithi nilishaiondoa kwenye akili zangu, Baba yangu wa kambo aliniweka kwenye urithi wa moja kati ya mali zake lakini nilikataa, sio kwamba tuna migogoro ya kifamilia au matatizo yoyote ila nilikataa tu, kwa sababu huwa naamini urithi pekee nilio nao ni akili yangu tu, na inanitosha kupata nachohitaji maishani.
Mkuu bado hujazeeka alafu mwanao yule jembe kabisa akakataa chochote kutoka kwako. Utafadhaika sana Mkuu. Sahivi unaweza ukachukulia poa ila sio poa kabisa.

Unajua kwenye urithi wa mali huwa kuna dhamira inafatana na hiyo mali. Unaweza rithi mali ila ikawa n mfano tu wa baraka ulizorithishwa na huyo marehemu. Kwa hiyo tambua urithi wa mali unakuja na baraka/heri kutoka kwa mgawa urithi

Kukataa urithi ni sawa na kukataa baraka na heri utakiwazo na marehemu. Ikiwa wewe unambariki mwanao alafu mwanao anakuamba sitaki hizo baraka na heri zako aise, usipomlaani basi utakufa na kinyongo kibaya.

Watu wengi wanafikiri ukirithi mali basi umerithi hiyo mali tu, jibu ni hapana ukirithi mali unarithi na baraka, heri na hata laana zake pia kama zipo.

Kuna mdau leoleo-tu amesema urithi unaaeza ukawa mzigo ni kweli na hiyo inatokana na mambo mengi sana
 
Mkuu bado hujazeeka alafu mwanao yule jembe kabisa akakataa chochote kutoka kwako. Utafadhaika sana Mkuu. Sahivi unaweza ukachukulua poa ila sio poa kabisa.

Unajua kwenye urithi wa mali huwa kuna dhamira inafatana na hiyo mali. Unaweza rithi mali ila ikawa n mfano tu wa baraka ulizorithishwa na huyo marehemu. Kwa hiyo tambua urithi wa mali unakuja na baraka/heri kutoka kwa mgawa urithi

Kukataa urithi ni sawa na kukataa baraka na heri utakuwazo na marehemu. Ikiwa wewe unambariki mwanao alafu mwanao anakuamba sitaki hizo baraka na heri zako aise, usipomlaani basi utakufa na kinyongo kibaya.

Watu wengi wanafikiri ukirithi mali basi umerithi hiyo mali tu, jibu ni hapana ukirithi mali unarithi na baraka, heri na hata laana zake pia kama zipo.

Kuna mdau leoleo-tu amesema urithi unaaeza ukawa mzigo ni kweli na hiyo inatokana na mambo mengi sana
Duuh umeandika kitu kipya hapa, nitafikiria.
 
Nmerithi mali na hakuna hata mali moja niliyouza na wala kuitegemea. Mimi naishi kwa pesa na juhudi zangu. Nimerithi mashamba ya miti, sijawahi kukata hata mti mmoja. Ni mwaka wa tatu nimeyamwachia ndugu yetu aliyekywa anazitunza kwa niaba ya mzee aendelee kkuitunza na kuvuna kama kawaida kwa maslahi yake mwenyewe kama ilivyokuwa kabla ya mzee kufariki. Nmerithi nyumba mbili standard sema siko vijijini huko. Badala ya kufaidika nazo mimi natumia ela kulipa watu waziangalie maana siwez kuziuza wala kupata wapangaji. Zitakaa tu nami nitawarithisha wanangu wajue chimbujo letu.
My point is...
Kuna urithi mwingine ni mzigo au unakuwa wa kawaida. Ila kuna urithi mwingine kila mtu atatamani apate mgao. Nikakupa mfano imagine mzee wako ana eneo kariakoo thamani yake ni bils kama 4. Mko watoto 4 tu, utakataa huo urithi?
Kuna vitu ni so tempting to say no.
Bahati mbaya sipimi urithi kwenye monetary/wealth values, Kuna mdau kaongelea urithi hapo juu kwenye different angle, naweza ifikiria hiyo
 
Duuh Kweli tunatofautiana, mimi binafsi mali ya urithi nilishaiondoa kwenye akili zangu, Baba yangu wa kambo aliniweka kwenye urithi wa moja kati ya mali zake lakini nilikataa, sio kwamba tuna migogoro ya kifamilia au matatizo yoyote ila nilikataa tu, kwa sababu huwa naamini urithi pekee nilio nao ni akili yangu tu, na inanitosha kupata nachohitaji maishani.
Poa, Ndugu Yangu Uko sahihi mzee baba.
 
Urithi ni haki ya kila mtoto ila sasa sio busara kudai au kukataa urithi. Ni sawa na kumsusia marehemu na mali zake.

Mtu halaimishwi kurithi mali ila sisi ni jamii tayari kuna kanuni zipo sio lazima kuzifuata ila ni muhimu kuzitambua.

Hapa unaweza ukawa na wazo a kutokuhitajisehemu ya urithi wako, ia kuna mazingra unaweza jikuta wewe ndio mtu unayeweza kusimamia na kuendeleza mali za marehemu, hapo ukikataa kurithi sio busara kabisa.

Fikiria wewe hapo sasa hiv mtoto wako anakuambia hahitaji mali yako yoyote, aise utafadhaika sana hasa ikiwa ni mtu ulikuwa unaamini ataendeleza ulichokianzisha.

Wahenga walisema, busara ni kukaa kimya. Usije ukasema hicho hadharani. Ikitokea watu wakagombea mali za marehemu sasa hapo wewe kaa kando n uwaambie umejivua lawama na mabalaa yajayo, na hili wajue na kufahamu.
Asante kwa ushauri wako, naufanyia kazi.
 
Mi nimezaliwa Dar na Nimekua Dar, nimejipambania kutafuta kile Mungu amenijalia kilicho kidogo changu, Ila nafsini mwangu mi sitaki chochote Cha urithi iwe kwa Familia yangu niliozaliwa yaani kwa baba na Mama Yangu.
Ingawa sijawaeleza ndugu zangu.Kua sihitaji chochote.

Ikitokea wazazi wetu wamefariki nitawaeleza ndugu zangu.
Kuhusu mke pia vivyo hivyo, mke nilienae sihitaji Mali yake kwa chochote, ikitokea mke ametangulia mbele ya haki kilichopo nitawapa Familia yake Mali zote. Isipokua watoto tu ndo nitaomba nibaki nao.

Mali yoyote ambayo inahusisha kurithi Wala nafasi Yangu aivutiwi kua na hiyo Mali.

Baba Mama na Mke, Ni watu muhimu Ila nafsi Yangu tu haipendi vitu vya urithi.
Yanatuhusu nini sisi hayo mambo? Utajijua mwenyewe wala usitusumbue Sisi!
 
Back
Top Bottom