Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,665
- 3,048
Yale manenno nilyoku-define hapo juu siyo matusi. Hebu kaangalie kamusi kwanza. Rejea maneno uliyoandika "hicho kizee kinasema hivyokutokana na kukosa nafasi ya kuwa mbunge kule bongo?". Only somebody who has got no ethics, primitive, etc can write such. Wewe siyo mstaarabu kwa lugha uliyotumia. Unavyo-m-advise Mr. Malecela aachie ubunge ungetumia lugha inayoeleweka; you need to learn wisdom!!.
Mkuu sawa,We andika uwezavyo na upeo wako mdogo na ujinga ulionao.
Mpumbavu na mjinga always anatanguliza matuzi na mbumbu ndiye wa kwanza kujionyesha kuwa yeye kasoma kuliko wenzake,
Lakini ukweli unabaki pale pale.Vijana ndiyo wanahitajika.
Sisi wazee,lazima tubaki nyuma kuwashauri vijana.