Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

Great thinker vipi bwana!!!!!....hao ni ving'ang'anizi wa madaraka, hawana tofauti na hao wabunge wasiotaka kukoma! Kisa democrasia

- Ving'ang'anizi wa madaraka, sio ishu hapa mkuu labda ufungue thread yake hapa ni kama Tanzania tunahitaji ukomo wa madaraka ya wabunge au hapana, labda useme nini hoja zako on that, binafsi ninasema bado tunawahitaji kina Ndeasamburo na Dr. Slaa kurudi bungeni na siamini kwamba kurudi kwao ni kuharibu demokrasia, wewe unasemaje mkuu sana?

- au wasiotakiwa ni ni wazee wa CCM tu?

Respect.


FMEs!
 
- Ving'ang'anizi wa madaraka, sio ishu hapa mkuu labda ufungie thread yake hapa ni kama Tanzania tunahitaji ukomo wa madaraka ya wabunge au hapana, labda useme nini hoja zako on that, binafsi ninasema bado tunawahitaji kina Ndeasamburo na Dr. Slaa kurudi bungeni na siamini kwamba kurudi kwao ni kuharibu demokrasia, wewe unasemaje mkuu sana?

- au wasiotakiwa ni ni wazee wa CCM tu?

Respect.


FMEs!

TBH Slaa anahitajika bado ila wale wa umri Mzee Ndesa, Kingunge na wenzake sitaki wataja hapa nadhani wanahitajika kwenye kutoa nasaha na ushauri hawana sababu ya kwenda kulala bungeni.

Mkuu kwanini usichukue form? Vijana wenzako tunakukubali sana bila shaka ukiingia mjengoni hutabadilika ....maslahi ya taifa utayaweka mbele chama nyuma.....
 
TBH Slaa anahitajika bado ila wale wa umri Mzee Ndesa, Kingunge na wenzake sitaki wataja hapa nadhani wanahitajika kwenye kutoa nasaha na ushauri hawana sababu ya kwenda kulala bungeni.


- Sasa unaona Great Thinker, unataka sheria za kumruhusu Slaa, tu lakini tuwe na sheria nyingine inyaokataza kina Kingunge wengine! damn!

Mkuu kwanini usichukue form? Vijana wenzako tunakukubali sana bila shaka ukiingia mjengoni hutabadilika ....maslahi ya taifa utayaweka mbele chama nyuma....
- Mkulu Masa, taifa ni letu wote sasa hata na wewe ni haki yako kuchukua fomu hili taifa sio langu peke yangu mkuu ni lako pia, au? Ingawa ninashukuru sana kwa ushauri wako, ingawa hatumwagi mtama kwenye kuku wengi au? Tanzania majimbo ni mengi sana!

Respect.


FMEs!
 
lakini hawa si kila baada ya miaka mitano wanarudi kuomba kazi upya,na wanaweza kupigwa boot anytime,technically wana ukomo hawa na kazi yao inaweza kwisha wakati wowote kama wananchi wao hawawataki,kwa President ukomo wa miaka ni muhimu kwa sababu hii position ni too powerfully na aliyepo anaweza kufanya chochote ili ashinde kama hakuna terms
 
- Mkulu Masa, taifa ni letu wote sasa hata na wewe ni haki yako kuchukua fomu hili taifa sio langu peke yangu mkuu ni lako pia, au? Ingawa ninashukuru sana kwa ushauri wako, ingawa hatumwagi mtama kwenye kuku wengi au? Tanzania majimbo ni mengi sana!

Respect.


FMEs!
Nimekusoma popote ukiamua unakura yangu.....!
 
Pro.J(bongo flava) alisema ukitaka kujua umuhimu wa ma-ta-ko kalia kichwa....sorry, out of topic!

lakini hawa si kila baada ya miaka mitano wanarudi kuomba kazi upya,na wanaweza kupigwa boot anytime,technically wana ukomo hawa na kazi yao inaweza kwisha wakati wowote kama wananchi wao hawawataki,kwa President ukomo wa miaka ni muhimu kwa sababu hii position ni too powerfully na aliyepo anaweza kufanya chochote ili ashinde kama hakuna terms

- Mkulu sana Koba vipi tena this time kichwa kimekalia wapi?

Respect.


FMEs!
 
- Mkulu sana Koba vipi tena this time kichwa kimekalia wapi?

Respect.

FMEs!

..kipo mahali pake kinapostahili,still sioni sababu ya kuzuia watu wasigombee kwa sababu ya terms ngapi au umri lakini kwa presidential power hapo ni game nyingine kabisa,lakini hizo ni opinions zangu najua mnaweza msikubaliane na mimi...DEMOKRASI!
 
..kipo mahali pake kinapostahili,still sioni sababu ya kuzuia watu wasigombee kwa sababu ya terms ngapi au umri lakini kwa presidential power hapo ni game nyingine kabisa,lakini hizo ni opinions zangu najua mnaweza msikubaliane na mimi...DEMOKRASI!

- Sawa sawa mkuu, tupo pamoja sana hapo! Bwa! ha! ha! ha!

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom