Malecela and Dr. Salim - Into Oblivion?

Malecela and Dr. Salim - Into Oblivion?

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.
Mzee Nyani Ngabu, kuwa makini… this' your 1st warning. Nakuongelea wewe kwakuwa ni Senior Member na unaijua kanuni hiyo hapo juu na unapoamua kuandika jina la mmojawapo wa wanachama hapa unafanya intentionally ili kumpandisha hasira. Dhamira yetu si kupandishana hasira; haipendezi na ni vema tuzikumbuke sheria na Kanuni zetu tulizokubaliana kuzifuata. The 2nd warning will be 95% leading you into a 1month server ban. Hope umenielewa and the alike. Pole kwa wote mlioathirika kwa namna moja ama nyingine.

4 - Email & Private Message Spam:
If the members are using the private message facility to spam the others with pointless, unsolicited mail they will be banned. If anyone receives one of these messages, please contact an admin immediately.
Kuna members huwa naona wanalalamika kuwa wanatumiwa PM za mikwara mizito na ilhali kuna sheria hii; tafadhali hakikisha unaitumia vilivyo ili tuweze kukuhudumia kwa karibu na uifurahie huduma yetu. Private Messaging haipo kutishiana ama kudharauliana. Ni mawasiliano kama mengine hivyo ni vema Privacy yako ikaheshimiwa. We are here for you!

10 - Signatures & Avatars:
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others and the length should be within reason. If you desire to have a custom avatar, it must be 150x150 pixels or less. No adult, drug related or racist content please. After 5 posts you will be allowed to have an avatar.
Kuna wanachama wana sahihi (signature) zilizo bolded na zenye font kubwa sana, nadhani wengine hujishangaa zinapungua font ghafla, I normally remove those fonts! Badala ya mtu kusoma kilichoandikwa inakuwa kama tangazo la biashara flani maana sahihi inakuwa kubwa kupitiliza. Tujaribu kufikiria pande ya pili inaathirika kwa kiwango gani kwa ukubwa wa maandishi kwenye sahihi zetu. Irembe vyovyote lakini font kubwa na link za matangazo ya biashara ama vinginevyo hazitovumiliwa.

Aidha nawashukuruni nyote kwa ushirikiano mnaotupa na daima nawaombea ufanisi katika mfanyayo.

Invisible
For JF Management
 
AmaniGK,
Kama kuna OLD SCHOOL ningependekeza agombee basi ni SALLIM AS. Ila hata naye ningelitaka kujua Biashara zake zikoje kwa sasa na akishika madaraka tusije kuwa tumeifanya hiyo kampuni iwe ya TAIFA.

Sidhani kwamba SAS anamiliki biashara ama kampuni inayoweza kusababisha aonekane hafai kuwa kiongozi! Mzee huyu ni nambari wani kwa uadilifu! Anazo kumbukumbu za kila senti anayopokea/inayoingia/inakotoka na anayotumia/inayotoka/inakokwenda. Kuna binadamu waadilifu Tanzania hii, bwana. Tatizo Tanzania wenye macho ya kuona na kutambua 'almasi' ni wachache!

Malecela uzoefu wa uongozi anao na anaweza kuutumia hata sasa kwa manufaa ya taifa letu hata kama yeye si rais, kama alivyofanya Mwalimu baada ya kustaafu. Aidha, wapo vijana wenye uwezo na uchungu wa dhati wa taifa letu wanaoweze kuchota busara kutoka kwa wazee hawa na nchi ikaendeshwa barabara. Mradi vijana wakubali na wawe radhi kuelewa kwamba utu uzima dawa, na kuishi kwingi ni kuona na kujifunza mengi. Kutafuta ushauri wa wazee ni jambo la busara.
 
Bibi Ntilie said:
Sidhani kwamba SAS anamiliki biashara ama kampuni inayoweza kusababisha aonekane hafai kuwa kiongozi! Mzee huyu ni nambari wani kwa uadilifu! Anazo kumbukumbu za kila senti anayopokea/inayoingia/inakotoka na anayotumia/inayotoka/inakokwenda. Kuna binadamu waadilifu Tanzania hii, bwana. Tatizo Tanzania wenye macho ya kuona na kutambua 'almasi' ni wachache!

Bibi Ntilie,

..kuna mambo fulani yalikuwa yakitokea Makutopora JKT ambayo Salim anatuhumiwa kuhusika nayo. naogopa kuyasema hapa nisije nikafungiwa bure.

..kulingana na tuhuma hizo, Salim hana maadili hata kidogo.
 
Bibi Ntilie,

..kuna mambo fulani yalikuwa yakitokea Makutopora JKT ambayo Salim anatuhumiwa kuhusika nayo. naogopa kuyasema hapa nisije nikafungiwa bure.

..kulingana na tuhuma hizo, Salim hana maadili hata kidogo.

Wow wow wow!! Umesema kulingana na tuhuma....sasa kama ni tuhuma tu inakuwaje anakuwa hana maadili? Kutuhumiwa na kuthibitishwa kuwa ni kweli ni vitu tofauti kabisa. Leo hii mimi ninaweza kukutuhumu wewe kuwa fisadi....je ina maana wewe ni fisadi wa kweli?
 
Nyani Ngabu said:
Wow wow wow!! Umesema kulingana na tuhuma....sasa kama ni tuhuma tu inakuwaje anakuwa hana maadili? Kutuhumiwa na kuthibitishwa kuwa ni kweli ni vitu tofauti kabisa. Leo hii mimi ninaweza kukutuhumu wewe kuwa fisadi....je ina maana wewe ni fisadi wa kweli?

Nyani Ngabu,

..nimezungumza kwa kutumia lugha ya kiutu uzima.

..tena bado hujaongeza matatizo yake na Balozi mmoja jina lake linaanzia na M.

..nasisitiza kwamba naogopa kufungiwa.
 
Nyani Ngabu,

..nimezungumza kwa kutumia lugha ya kiutu uzima.

..tena bado hujaongeza matatizo yake na Balozi mmoja jina lake linaanzia na M.

..nasisitiza kwamba naogopa kufungiwa.

Wewe una uoga hewa....kama unaogopa hivyo basi penyeza hizo "ze dataz" kwenye PM halafu watu watajiandikisha kwa majina mengine na kuzimwaga hapa. Au hata wewe unaweza kwenda Library ukajiandikisha kwa jingine na kuzimwaga hapa....
 
Nyani Ngabu,

..mbona "ze dataz" zenyewe kila mtu anazijua?

..si umeona Bibi Ntilie mwenyewe kakimbia?
 
Nyani Ngabu,

..mbona "ze dataz" zenyewe kila mtu anazijua?

..si umeona Bibi Ntilie mwenyewe kakimbia?

Mazee,

Kama huwezi kusema kaa kimya.Siyo unasema nusu nusu.Hapa ndipo "Where we dare talk openly"

Anaongelewa mungu nje ndani, itakuwa Malecela?
 
Mazee,

Kama huwezi kusema kaa kimya.Siyo unasema nusu nusu.Hapa ndipo "Where we dare talk openly"

Anaongelewa mungu nje ndani, itakuwa Malecela?

Anachoogopa ni kumwaga "ze dataz" za Salim....sijui anaogopea nini?
 
Bibi Ntilie said:
Tukumbushane tu kwamba hii thread inahusu Malecela. Sikonge alipoingiza jina la SAS nikashawishika kuandika ninachojua kuhusu Mzee huyo. Hakuna binadamu asiye na mapungufu lakini uchache wa mapungufu ndio uadilifu!

Bibi Ntilie,

..asante sana. tumeyamaliza.

..manaake Nyani Ngabu na Pundit walikuwa wananichokoza ili nifungiwe.
 
Bibi Ntilie,

..asante sana. tumeyamaliza.

..manaake Nyani Ngabu na Pundit walikuwa wananichokoza ili nifungiwe.

Hamna mtu atakayekufungia kwa kusema ukweli, na penye ukweli uongo hujitenga.

Wewe kama joga unaogopa kivuli chako sema, lakini atakayekufungia kwa kusema ukweli atajifungia mwenyewe zaidi kuliko atakavyokufungia wewe.

Haya sema, Salim aliwafanya nini Makutupora? Usiposema bonge la mzushi, kwa sababu utakuwa umesha create images kibao ambazo hazifai, nyingine zinaweza kuwa mbaya hata kuzidi hayo aliyofanya kama kuna lolote alilofanya.
 
Bibi Ntilie,

..asante sana. tumeyamaliza.

..manaake Nyani Ngabu na Pundit walikuwa wananichokoza ili nifungiwe.

Wewe umesema jamaa hana maadili kwa sababu ana tuhuma dhidi yake....zimwage hizo "ze dataz".....kwa nini unazibania?
 
Pundit,Nyani Ngabu,

..hivi nyinyi mna umri gani lakini?

..mbona Bibi Ntilie amenielewa na kuamua kuyamaliza?

..thread hii ni ya CYGWIYEMWISI JOHN MALECELA. masuala ya SAS yalikuwa ni side show tu.

..naomba turudi kwenye mada kuu.
 
Pundit,Nyani Ngabu,

..hivi nyinyi mna umri gani lakini?

..mbona Bibi Ntilie amenielewa na kuamua kuyamaliza?

Bibi Ntilie kasema kila binadamu ana mapungufu na mapungufu machache ndio uadilifu. Wewe umesema kulingana na tuhuma za Salim...yeye (Salim) siyo mwadilifu....ulichosema wewe na Bibi Ntilie ni vitu viwili tofauti kabisa....

Mwaga hizo "ze dataz" hapa....
 
Pundit,Nyani Ngabu,

..hivi nyinyi mna umri gani lakini?

..mbona Bibi Ntilie amenielewa na kuamua kuyamaliza?

..thread hii ni ya CYGWIYEMWISI JOHN MALECELA. masuala ya SAS yalikuwa ni side show tu.

..naomba turudi kwenye mada kuu.

Kama huwezi kumwaga data futa kauli zako za scandals za SAS. Maji ukiyavulia nguo huna budi kuoga. Reputation ya mtu ni kitu muhimu sana, sasa kama unaweza kumwaga nondo mwaga, kama huwezi ondoa statements zote zilizo malicious, ama sivyo utakuwa mzushi tu.

Na swala la umri liko irrelevant kabisa hapa.
 
Pundit,Nyani Ngabu,

..hivi nyinyi mna umri gani lakini?

..mbona Bibi Ntilie amenielewa na kuamua kuyamaliza?

..thread hii ni ya CYGWIYEMWISI JOHN MALECELA. masuala ya SAS yalikuwa ni side show tu.

..naomba turudi kwenye mada kuu.

Usitake kukimbia hapa.....

Vipi nikianzisha thread ya SAS utakuja huko na kuzimwaga hizo "ze dataz"...?
 
Usitake kukimbia hapa.....

Vipi nikianzisha thread ya SAS utakuja huko na kuzimwaga hizo "ze dataz"...?

...nenda Alaska mkajiandae 2012 wenzako wametangulia,vipi huko uliko ushaanza campaign kulisaidia lile hate monger Chambliss...hope litaanguka vibaya sana.
 
...nenda Alaska mkajiandae 2012 wenzako wametangulia,vipi huko uliko ushaanza campaign kulisaidia lile hate monger Chambliss...hope litaanguka vibaya sana.

Saxby atashinda kwa landslide mithili ya tsunami....kama unabisha subiri uone....hakuna Democraps maeneo ya huku
 
Saxby atashinda kwa landslide mithili ya tsunami....kama unabisha subiri uone....hakuna Democraps maeneo ya huku

...who cares,lots of warmongers,bigots & uneducated people down there,just keep your stupid South!
 
Back
Top Bottom