Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
Mbona kama kapoteza muda maana anatakiwa ajibu hoja za Gwajima badala kuimba mipasho
 
Hivi mama Hana washauli? Hana ndugu?Hana mume asimame kuwa hapa mke wangu unazingua?
 
Siku zinavyozidi kwenda kuelekea uchaguzi hyo October Imani ya watanzania wengi inazidi kupungua kinachofanyika saivi ni kununua trust kupitia viongozi wa dini ila bado wanakosa mpangilio mzuri kwenye hotuba zao wanapowaita watumishi wa shetani wakati Kuna kundi kubwa la watu wanaliongoza kupitia madhehebu yao .........

In facts in these world there's no democracy

Ngoja niishie hapa maana tunakoelekea mmmh kama Gwajiboy kakemea utekaji kanisa likafungiwa badala ya yeye kukamatwa TU
Vip wewe na Mimi ukiongelea vbaya maslah ya wakubwa ?
tatizo la huyu anataka kumjibu kila anayempinga,sasa wakitokea wanaompignga 1000 atawajibu wote?,mbaya zaidi hajibu hoja...akiongeza muda mwingine huyu tutayumba
 
Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
Upo sahihi na kumbe unamjua kama ni kutoka kule?
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Wezi wa kura ndiyo watumishi wa Mungu?
Ni Mungu yupi huyo anayesupport wizi?
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Huyu kiongozi nashangaa wa KKKT walimrudisha tena. Askofu chawa
 
Musimlaumu Malasusa,Kazi yake ndio hiyo!!Amewekwa hapo kwaajili ya mambo kama haya.Tukio limeratibiwa kumsafisha kizimkazi lakini vile Mungu hayupo upande wake ndio amezidi kujinyea.
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Ulitaka achaguliwe babaako au hawara ya mamaako kuwa Kiongozi wa Walutheri?
 
Back
Top Bottom