Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Wenye mada za kijinga kama hizi wamekuwa wengi
 
Siku zinavyozidi kwenda kuelekea uchaguzi hyo October Imani ya watanzania wengi inazidi kupungua kinachofanyika saivi ni kununua trust kupitia viongozi wa dini ila bado wanakosa mpangilio mzuri kwenye hotuba zao wanapowaita watumishi wa shetani wakati Kuna kundi kubwa la watu wanaliongoza kupitia madhehebu yao .........

In facts in these world there's no democracy

Ngoja niishie hapa maana tunakoelekea mmmh kama Gwajiboy kakemea utekaji kanisa likafungiwa badala ya yeye kukamatwa TU
Vip wewe na Mimi ukiongelea vbaya maslah ya wakubwa ?
 
Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
Hao wananchi wanaomkataa ni wananchi wa nchi gani mbona watanzania tunamkubali sana mama Samia?!
 
Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
🤔
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Hilo kanisa ni la hovyo kuliko hata shetani
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Malasusa ni laana kubwa sana KKKT ndio maana kanisa haliishi migogoro
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Huyu sio askofu wa kanisa bali ni mtumishi wa serikali ya Samia tangu zamani
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Mkuu bado hujazeeka kwa nini usiende seminari nawe uwe Askofu.
Usiwe mnafiki.
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Mkuu barikiwa
 
Back
Top Bottom