Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
Mkataeni woote lkn ujue tu kwamba atabakia kuwa Rais labda Mungu mwenyewe atake vinginevyo
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Ndo shida ya njaa, Mungu tusaidie watoto wako, na watumishi wako unafiki utatuuwa.
 
Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
Inaelekea we si mkristo wa KKKT.
Hii hafla ipo toka mwezi wa kwanza au wa pili mwaka huu.
Sali na utubu kw chuki zenu.
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Huyo Alex Gehaz Malasusa ni mtu wa ccm. Keshawatoa wenzake kafara wale kina Askofu Munga!
Kifupi SSH shetani leo alikuwa na shetani mwenzake!
Screenshot_20250605-205341.png
 
Nimekaa paleee...akikemea au hata kufungua mdomo.
 
Kwani yule wa "Sisi Askofu Mwamakula..." anasemajee? 😂😂😂
 
Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
ule mkofia wa kiaskofu una maana gani? Ndio maana trump hakuuheshimu aliamua kujivisha. Malasusa asiwasaliti wenzake ni dhambi
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Mimi ni M KKKT ila sijawahi kuikibali hii takataka ya malasusa

Baba mnafki huyu kama Shehe mkuu
 
Back
Top Bottom