Malasusa ni Raia wa Malawi ndiyo maana ana Robo mbaya sanaHuyo Alex Gehaz Malasusa ni mtu wa ccm. Keshawatoa wenzake kafara wale kina Askofu Munga!
Kifupi SSH shetani leo alikuwa na shetani mwenzake!View attachment 3357164
Malasusa ni Raia wa Malawi ndiyo maana ana Robo mbaya sanaHuyo Alex Gehaz Malasusa ni mtu wa ccm. Keshawatoa wenzake kafara wale kina Askofu Munga!
Kifupi SSH shetani leo alikuwa na shetani mwenzake!View attachment 3357164
Muungano ufe Tanganyika idai uhuru wakeAcha ukundu mama hatumtaki
KKKT sasa ni janga la TaifaKuna binaadam yeyote "anayelelewa kupingana na serikali"?
Hebu tuelezwe Samia kachanga Tsh. ngapi (pesa yetu kama siyo ya waarabu) katika tukio hilo!
Malasusa alisimikwa na hao anaowasifu.Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!
Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!
Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!
Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!
LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
WATUMISHI WA USHETANIUmewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!
Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!
Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!
Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!
LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
ALIIBA KURA ZA BAGONZA, JIZIHuyu kiongozi nashangaa wa KKKT walimrudisha tena. Askofu chawa
Ahahahahaha!Tutamchagua mama yako pimbi wewe,,
TENA KUJIHARISHIAMusimlaumu Malasusa,Kazi yake ndio hiyo!!Amewekwa hapo kwaajili ya mambo kama haya.Tukio limeratibiwa kumsafisha kizimkazi lakini vile Mungu hayupo upande wake ndio amezidi kujinyea.
Picha yake tafadhali.Sasa Askofu ana kichwa cha mviringo na mashavu kama paka,.utarajie awe na akili?
Arudi kwao bhanaaMuungano ufe Tanganyika idai uhuru wake
Malasusa ni mchumia tumbo, kuna wakati niliacha kwrnda kanisani kabisa nikahamia penktekoste kwa sababu ya upuuzi wa malasusaUmewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!
Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!
Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!
Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!
LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
"In these world"???? ....kwanini unajidhalilisha kwa kuandika kwa lugha usiyoijua?In facts in these world there's no democracy
Utaanguka wewe kwanzaHuyu maza anguko lake li karibu sana
Kunywa sumu kupunguza chuki zakoHuyu jamaa Askofu wangu namchukia na kitendo cha leo nimemchukia zaidi na zaidi.
Ikiuma chomoaUtaanguka wewe kwanza
Boniface Mwangi anakupa tahadhari "BEWARE OF THE LUBE IN THE HANDS OF TORTURERS IN THE SECRET SAFE HOUSE."Ngoja niishie hapa maana tunakoelekea mmmh kama Gwajiboy kakemea utekaji kanisa likafungiwa badala ya yeye kukamatwa TU
Vip wewe na Mimi ukiongelea vbaya maslah ya wakubwa ?
Tunaomba Baraza la maaskofu KKKT mkae na muondoeni kwenye ukuu huyu Malasusa. Hawezi kutuharibia KKKT yetu namna hii. Yaani madhabahu inatumika kuita watumishi wa kanisa lingine kwamba ni watumishi wa shetani! Hii hapana!Malasusa kakosea...uwez kumkarbsha mtu akasmama madhabahuni akakashifu makanisa mengine alafu Mungu akakuacha salama