Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!
Kuna binaadam yeyote "anayelelewa kupingana na serikali"?

Hebu tuelezwe Samia kachanga Tsh. ngapi (pesa yetu kama siyo ya waarabu) katika tukio hilo!
 
Huyu mzanzibari ndo mtumishi wa shetani maana anaendelea kumwaga damu za watanganyika
 
Malasusa Mlitegemea aseme nini tofauti???Mitanzania mingi minafiki kwanini mnamlaumu yeye pekee wakati wote tu wanafiki???waongo nae kaona iaiwe shida
 
Hilo zee jinga sana
Zee oga sana
Zee chawa
Hovyo
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Ninafikiria Mimi na familia yangu kuihama KKKT. Na niseme wazi nitahamia Sabato.
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Miaka yote Tawala zote malasusa huwa ni Mnafiki sana huwa anauma na kupuliza ni mwizi mpenda Rushwa na mzinzi balaa ni kiongozi wa hovyo kwa sasa, kitendo cha kukumbatia utekaji mauaji ya mama iddy Amin Dada Mkoloni Kaburu toka Zanzibar kwa watanganyika kimedhihirisha kuwa Malasusa ni ibirisi shetani aliyejificha huko kkkt kwa njia haramu za kishetani
 
KKKT sasa wanafuga Watekaji wauaji, mfadhili wa vitendo haramu vya kishetani ni Malasusa kuanzia sasa laana za waliotekwa na kuuawa zielekezwe kwa malasusa mpaka kkkt wamsuse wote afukuzwe amelichafua kanisa kwa kiwango cha kutisha
 
Asiye mfahamu huyo Askofu ndiyo atapata shida. Kiufupi alianza ktambo sana hiyo tabia yake ya usnitch pamoja na Kardinali wangu Mstaafu Polycarp Pengo. Hawa watu wawili huwaambii kitu kuhusu CCM.
Huwa ni wazinzi, wezi, wanafiki na wapiga Dili wakubwa, Sasa malasusa kala pesa haramu za kishetani toka kwa ibirisi wa ccm walizokwapua Bilion 15 toka Hazina juzi ni wizi mpya wa Akina Amos makala Bashungwa IGP na chawaccm, kwa sasa ushetani ni mkuwa huko ccm ibirisi ameweka kambi ya kudumu ccm ingawa na wao wanawagawa ibirisi kwenda KKKT na Chaumaccm wakizani watanzania wamelala
 
Back
Top Bottom