Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 577
- 657
Kwani salary slip za mwezi June zimetoka?
Kwahiyo usipoona mshahara wako utasubiri salary sleep kuthibitisha kwanini haujaingia?Kwani salary slip za mwezi June zimetoka?
Huu uhuni mm niliuhisi baada ya bodi kuchelewa kutoa updatesHalafu bodi walisema wao ndio wana deni halisi. Tuwasubiri kuanzia kesho mfumo wao wa kuangalia deni ukikaa sawa tutaona tu, na kama mtifuano ndo utaanzia hapo.
NB. Bodi, kumbukeni VRF ililetwa mwaka 2013. Hivyo, chonde chonde muiondoe yote kwa wale wakopaji wa kabla ya 2013 kwa sababu haikuwepo kwenye mkataba. Pia, hata wakopaji wa baada ya 2013 muiondoe yote kwa sababu serikali hutoa elimu kama huduma na si biashara.
Nimesikia mmeanza janja janja yenu kwamba, mnatoa VRF baada ya 1st May 2021 baada ya mama President kutamka.
Kumbukeni kuna watu walisaini mkataba huko nyuma ukiwa hauna VRF, na nakala tunazo, tukienda mahakamani msije kulaumu.
Yap tyari kwa kwangu wanekta 129k deni limebaki lilelile la mwezi May, huu ni wizi kabisaKwani salary slip za mwezi June zimetoka?
Kwahiyo ulitaka alete mada gani hapa jukwaani? Wewe ndio utakua haupo sahihiWangapi?
Wewe umejuaje wengi wamepatwa tatizo hilo?
Sasa humu ndio BODI?
Huo ujinga wa before 1st May mimi wameniwekea laki 5,Halafu bodi walisema wao ndio wana deni halisi. Tuwasubiri kuanzia kesho mfumo wao wa kuangalia deni ukikaa sawa tutaona tu, na kama mtifuano ndo utaanzia hapo.
NB. Bodi, kumbukeni VRF ililetwa mwaka 2013. Hivyo, chonde chonde muiondoe yote kwa wale wakopaji wa kabla ya 2013 kwa sababu haikuwepo kwenye mkataba. Pia, hata wakopaji wa baada ya 2013 muiondoe yote kwa sababu serikali hutoa elimu kama huduma na si biashara.
Nimesikia mmeanza janja janja yenu kwamba, mnatoa VRF baada ya 1st May 2021 baada ya mama President kutamka.
Kumbukeni kuna watu walisaini mkataba huko nyuma ukiwa hauna VRF, na nakala tunazo, tukienda mahakamani msije kulaumu.
VRF before 1st MayMe deni limeongezeka ni ajabu na kweli
Wengi tu hata mimi na wafanyakazi wengine ofisini hali ni hiyo hiyo makato wametoa lakini deni liko palepaleWangapi ?
Wewe umejuaje wengi wamepatwa tatizo hilo?
Sasa humu ndio BODI ?
Bwana BadruHuyo mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo hamna kitu. Yani huyo ni miongongoni mwa watu wakutumbuliwa. Yupo yupo tu
Zimetoka deni lipo pale pale lilipokatwa mwezi may..Kwani salary slip za mwezi June zimetoka?
Zimetoka Mimi nilipungua kwa sh 25 hali wamekata pesa yoteKwani salary slip za mwezi June zimetoka?
Hawataki deni liisheZimetoka Mimi nilipungua kwa sh 25 hali wamekata pesa yote
Acha umama na ww!!! Kwan mnapolalamikia polisi au vituo vya afya humu ni polisi??! Think bigWangapi ?
Wewe umejuaje wengi wamepatwa tatizo hilo?
Sasa humu ndio BODI ?
Sasa mtu unalalamikaje wakati hata hujatafuta wahusika wakakataa kukusikiliza.Acha umama na ww!!! Kwan mnapolalamikia polisi au vituo vya afya humu ni polisi??! Think big
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app