Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

Wangapi?

Wewe umejuaje wengi wamepatwa tatizo hilo?

Sasa humu ndio BODI?
 
In short naona serikali haina mpamgo wa kutaka hili deni tulimalize maisha yote.

Hii imekuwa na tax tu
 
Huyo mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo hamna kitu. Yani huyo ni miongongoni mwa watu wakutumbuliwa. Yupo yupo tu
 
Halafu bodi walisema wao ndio wana deni halisi. Tuwasubiri kuanzia kesho mfumo wao wa kuangalia deni ukikaa sawa tutaona tu, na kama mtifuano ndo utaanzia hapo.

NB. Bodi, kumbukeni VRF ililetwa mwaka 2013. Hivyo, chonde chonde muiondoe yote kwa wale wakopaji wa kabla ya 2013 kwa sababu haikuwepo kwenye mkataba. Pia, hata wakopaji wa baada ya 2013 muiondoe yote kwa sababu serikali hutoa elimu kama huduma na si biashara.

Nimesikia mmeanza janja janja yenu kwamba, mnatoa VRF baada ya 1st May 2021 baada ya mama President kutamka.

Kumbukeni kuna watu walisaini mkataba huko nyuma ukiwa hauna VRF, na nakala tunazo, tukienda mahakamani msije kulaumu.
Huu uhuni mm niliuhisi baada ya bodi kuchelewa kutoa updates
 
Halafu bodi walisema wao ndio wana deni halisi. Tuwasubiri kuanzia kesho mfumo wao wa kuangalia deni ukikaa sawa tutaona tu, na kama mtifuano ndo utaanzia hapo.

NB. Bodi, kumbukeni VRF ililetwa mwaka 2013. Hivyo, chonde chonde muiondoe yote kwa wale wakopaji wa kabla ya 2013 kwa sababu haikuwepo kwenye mkataba. Pia, hata wakopaji wa baada ya 2013 muiondoe yote kwa sababu serikali hutoa elimu kama huduma na si biashara.

Nimesikia mmeanza janja janja yenu kwamba, mnatoa VRF baada ya 1st May 2021 baada ya mama President kutamka.

Kumbukeni kuna watu walisaini mkataba huko nyuma ukiwa hauna VRF, na nakala tunazo, tukienda mahakamani msije kulaumu.
Huo ujinga wa before 1st May mimi wameniwekea laki 5,
Nitapambana hadi mwisho sasa hivi nakusanya ushahidi nitawarudia
 
Back
Top Bottom