tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 83
Huo ni wizi wamefanya. Wamepandishia madaraja watumishi, Kama serikali Haina hela waseme tu
Mbona kwangu Deni limeshuka Sana . Yaani siamini kutoka mil6 hadi 28500. DahWalidhani hatuwezi kubaini wizi huo
Baada ya Rais kuondoa Rentation fee, majizi yameona yaibe kimyakimya
Si muende moja kwa moja kuwapelekea bodi ya mikopo haya malalamiko ili wayafanyie kazi kwa haraka?Hata mm wamekata bila kupunguza amount ya mwezi uliopita na huu iko vile vile na washachukua 109,000/=
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Mwenzako ana tatizo serious wewe unafanya mzaha. Acha utoto.Dawa ya deni kulipa..nyie mlikua mnatulingishia sana na vibumu vyenu..kila wikendi pizza hut kutulingishia life la chuo na videmu vyenu...lipeni achani kulalama.
#MaendeleoHayanaChama
Jf ni sehemu ya kupumulia wakati tukijiandaa kwa hatua zaidiWw hujui nguvu JF, acha ujinga
Salary slip Kuna shida, baada ya kukuona uzi huu, deni la mwezi Mei na juni tofauti ni Sh.19 tu, licha ya salary slip kuonesha nimekatwa kama kawaida.Inshort mwezi huu nimekatwa sh.19 na takehome imebaki ileile kama ya mwezi Mei.Hivi Hazina imehamia Dodoma au ipo Dar?
Watu wamekatwa pesa zao ila deni limebaki palepale au kupungua kama sh 15000 tu 😀😀😀Eleza shida nini tushauri.
Angalia salary slip kwa makini. Linganisha na zile za miezi iliyotangulia...Watu wamekatwa pesa zao ila deni limebaki palepale au kupungua kama sh 15000 tu
ZimefanyajeAngalia salary slip kwa makini. Linganisha na zile za miezi iliyotangulia...
Awali ulianda nini??!!Zimefanyaje