Mkuu unadhani waliamua kujijengea tu bila kupewa kibali chochote kile na mamlaka husika ?[/QUO
We si ulijitapa ni mkristuWameendesha operesheni ya hamisha hamisha ya wafanyakazi waislamu UDOM wamebakisha WAKIRISTO zaidi ya asilimia 88 .
Tukisema Utawala huu unanuka UDINI huu ni mfano mmoja wapo!
Kwa Magu hawafurukuti kama vipi wajaribu waone.Uzuri ndugu zetu waislamu huwa hawakubali kuonewa, hii tayari ishu haitaisha leo
FactYes, but usiombe jambo la kijinga na kutpitiswha na watu wajinga halafu mwelevu akiliona ulalamike. That is illogical! Hakuna cha dini wala kingine. Ni suala la uelewa.
Unaandika barua kama hiyo isiyojieleza nini ni tatizo. Ni kuhamishwa waislamu au msikiti kuzuiliwa? Kama ni kuhamishwa kote, UD, SUA, NIMR staff wamehamishwa tena seniors. La kujiuliza ni kwa nini seniors hao wa UDOM wote ni waislamu? waliingiaje wote wakiwa waislamu watupu. Hapo ndo utajua historia ya kijinga ya UDOM. Tusipende kuficha upuuzi wa watu walioshindwa kubadilika.
Ukisoma ubadilike. Usipobadilika unaitwa mpuuzi. Hadi level ya Chuo kikuu bado dini na kabila na ukoo ni tatizo kwako? Kama unaona dini ni muhimu kuliko kingine hama chuo kikuu. Dodoma imejaa mapori, peleka sadaka zako huko ujenge madrassa na himaya yako, kuliko kuomba ekari 20 za msikiti mmoja uwe na himaya ndani ya eneo la serikali.
Wapi wamepewa Kanisa?Lakini mbona wakristo waliopewa kanisa huombi na wao wafungwe kwa kuwa kosa lao ni moja
Halafu kweli...Tunaomba ndugu zetu wajenge chuo chao...Majengo ya Tanesco Morogoro mlipewa tu kwa muda...ili mtambae alafu msimame wenyewe...sasa mmeshasimama wenyewe...tunaomba majengo myarudishe kwa amani...Tatizo hawa watu ni watu wakulalamika tu. Chuo cha tanesco morogoro waliomba kuazimwa majengo wafungue chuo baadae wajenge chao lakini hadi leo wameshabinafsisha.
Kwani udom kuna makanisa?? Kwanini wao wanalazimisha kujenga msikiti??
Sasa ukitaka kufahamu muda mwingine hizo dini zinastaajabisha ni hapa kwenye vielelezo vya uongozi wa chuo.
Aliyeandika barua anadai wakristo ni wengi kwenye utawala kuliko waislamu , kama haupo makini na ukatanguliza hisia kuliko ukweli utahisi kuna haja ya ulinganifu wa kidini katika utawala na kusahau kuwa mtu anapewa mamlaka ya uongozi wa chuo kutoka na na uwezo wa kitaaluma na uzoefu ndio maana kuna waislamu.Serikali yetu naomb isiingie mkenge kwenye mtego wa hili swala la dini kwa kuanza kuweka watu katika idara eti kuweka uwiano wa dini.Sasa na ambayo ni wahindu na wasio enda kanisani au msikitini wakitaka hapo hapatakuwa Chuo bali Jerusalem( Israeli vs Palestina)
Kwa upande Mwingine hii Ni fursa ya Vijana wa Kiislam kujitambua
Mara nyingi Sana mkipata misuko suko ya kubaguliwa Na kudhalilishwa Na kuonewa Umoja wenu unakuwa Imara Sana
Nakumbuka Sana enzi Zetu Za kuanzishwa MSAUD Udsm
Uislam kadri unavyotikiswa ndio huwa unaimarika
To the extent of my experience Product itakayoanza kutoka Udom kuanzia Mwaka huu haitokuwa ya 'kindezi ndezi'
Kauli ya kijinga hii.Uzuri ndugu zetu waislamu huwa hawakubali kuonewa, hii tayari ishu haitaisha leo
Salamu zimfikie FaizaFoxyNanukuu:
" Sisi hatusemi kabisa kwamba uhamisho na uvunjaji wa Msikiti vilifanywa kwa sababu ya udini. Lakini kukosekana kwa umakini katika hatua hizo kunaweza kukatengeneza fursa ya dhana hiyo kupenya."
Mwisho wa kunukuu.
Naona awamu hii maustadhi mnatoa malalamiko yenu kwa lugha laini sana, iliyojaa unyenyekevu , adabu na ustaarabu mno.
Nafikiri mmesoma upepo mkaona aliyeko juu pale Jumba jeupe ni sampuli gani, mkikinukisha na yeye anakinukisha tena kwa risasi za moto kama uncle Ben wa Masasi alivyowafanya wapemba mwaka ule wa utawala wake.
Poleni sana aiseee.
Ila amri ikishatoka juu kushuka chini huwa hairudi tena juu ilikotoka.
Huyo Allah atachekesha umati kama atanusuru."walipaswa kufukuzwa kazi kabisaa na kufungwa jela na wala si kuhamishwa tuu kwani kosa walilofanya la kubadili matumizi ya ekari10 za eneo la chuo cha UDOM" duh!!....."Allah tunaomba utunusuru chuki zao dhidi ya Dini yetu"......
Sent using Jamii Forums mobile app
Dini zote ni tatizo..hususan kama wanafanya mpango wa kutawala badala ya kuhubiri maisha baada ya kifo.Kaka mimi ni mfuasi wa Kristo lakini kwa kweli nimegundua kuwa WAKIRISTO wa nchi hii huungana kuwa kitu kimoja kutetea MASLAHI ya Mifumo yetu, Hujaribu kila namna kutoa kauli za Kejeli, Maudhi, Kupindisha Logic na Common sense ili kutetea mfumo unawaweka juu ya ndugu zetu Waislamu.
Najaribu kufikiri laiti Raisi angekuwa Muislamu akahamisha Wakirsto tupu kuwatoa chuo kimoja na kuwatapanya halafu Gwajima akalishikia bango, hii nchi isingetawalika kwa kelele!
Au Raisi angekuwa ni Muislamu akawa aneteua Waislamu asilimia zaidi ya 80 na wakiristo only 20 % kama rais wa sasa anavyofanya kuteua Wakiristo wengi kuliko Waislamu kwa Proportipns kubwa ajabu, Nchi hii isingetawalika, Nyaraka za Kichungaji zingeshatoka, Kelele madhabahuni, Hapa JF mada za kumuita raisi huyo mdini zisingepungua!
UDiNI ni Upofu na ni UKATILI wa ajabu sana!
Kaka mimi ni mfuasi wa Kristo lakini kwa kweli nimegundua kuwa WAKIRISTO wa nchi hii huungana kuwa kitu kimoja kutetea MASLAHI ya Mifumo yetu, Hujaribu kila namna kutoa kauli za Kejeli, Maudhi, Kupindisha Logic na Common sense ili kutetea mfumo unawaweka juu ya ndugu zetu Waislamu.
Najaribu kufikiri laiti Raisi angekuwa Muislamu akahamisha Wakirsto tupu kuwatoa chuo kimoja na kuwatapanya halafu Gwajima akalishikia bango, hii nchi isingetawalika kwa kelele!
Au Raisi angekuwa ni Muislamu akawa aneteua Waislamu asilimia zaidi ya 80 na wakiristo only 20 % kama rais wa sasa anavyofanya kuteua Wakiristo wengi kuliko Waislamu kwa Proportipns kubwa ajabu, Nchi hii isingetawalika, Nyaraka za Kichungaji zingeshatoka, Kelele madhabahuni, Hapa JF mada za kumuita raisi huyo mdini zisingepungua!
UDiNI ni Upofu na ni UKATILI wa ajabu sana!
"walipaswa kufukuzwa kazi kabisaa na kufungwa jela na wala si kuhamishwa tuu kwani kosa walilofanya la kubadili matumizi ya ekari10 za eneo la chuo cha UDOM" duh!!....."Allah tunaomba utunusuru chuki zao dhidi ya Dini yetu"......
Sent using Jamii Forums mobile app