Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,700
- 4,693
Yes, but usiombe jambo la kijinga kupitiswha na watu wajinga halafu mwelevu akiliona ulalamike. That is illogical! Hakuna cha dini wala kingine. Ni suala la uelewa.Haya mambo ya dini ni very sensitive.. Kama waliomba na kupewa vibali vya kujenga, kwanini baadae waje kubomolewa..? Na kama ni kweli imetamkwa agizo limetoka juu, huko juu ni kwa nani..? Kuna hoja hapa inabidi izungumzwe kwa ustawi wa taifa letu.. Watanzania wengi wana muingiliano wa undugu kwenye dini hizi, tunatakiwa kuwa makini..
Unaandika barua kama hiyo isiyojieleza nini ni tatizo. Ni kuhamishwa waislamu au msikiti kuzuiliwa? Kama ni kuhamishwa kote, UD, SUA, NIMR staff wamehamishwa tena seniors. La kujiuliza ni kwa nini seniors hao wa UDOM wote ni waislamu? waliingiaje wote wakiwa waislamu watupu. Hapo ndo utajua historia ya kijinga ya UDOM. Tusipende kuficha upuuzi wa watu walioshindwa kubadilika.
Ukisoma ubadilike. Usipobadilika unaitwa mpuuzi. Hadi level ya Chuo kikuu bado dini na kabila na ukoo ni tatizo kwako? Kama unaona dini ni muhimu kuliko kingine hama chuo kikuu. Dodoma imejaa mapori, peleka sadaka zako huko ujenge madrassa na himaya yako, kuliko kuomba ekari 20 za msikiti mmoja uwe na himaya ndani ya eneo la serikali.