uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,987
- 8,362
Huko india wahindu walikerwa na msikiti uliokuwa jirani na makazi ya watu kuwa unawapigia kelele na kuamua kuubomoa bila kuita serikali
Waislam wa msikiti huo walijaribu kwenda mahakamani kupinga wazo la kubomoa msikiti lakini kabla ya mahakama haijatoa hukumu wahindu walivunja vunja huo msikiti na kupelekea watu kadhaa kupoteza maisha
ila baadae mahakama ikatoa uamuzi tofauti
Kwa mtazamo wahindu ni jamii isiyopenda hata kidogo kuchangamana na jamii ya waislam popote pale
Credit: aljazeera
Waislam wa msikiti huo walijaribu kwenda mahakamani kupinga wazo la kubomoa msikiti lakini kabla ya mahakama haijatoa hukumu wahindu walivunja vunja huo msikiti na kupelekea watu kadhaa kupoteza maisha
ila baadae mahakama ikatoa uamuzi tofauti
Kwa mtazamo wahindu ni jamii isiyopenda hata kidogo kuchangamana na jamii ya waislam popote pale
Credit: aljazeera