Malalamiko kuhusu kuvunjwa msikiti, uhamisho wa wahadhiri Waislam UDOM

babaaa babaaaa fojaliiii babaaaa......wanakaaa watu2 na kuamua maamuzi ya barazaa! ndiyo maana nimekwambia busara ya hali ya juu imetumika apo ku-neutralize 'wizi' uliofanywa na hao 'wahadhiri'
nguvu na rasimali kubwa sana zilitumika kukijenga hicho chuo lakini output quality bado haiendani na uwekezaji uliofanyika, ngoja safisha safisha ipite kwanza apo, kama mtakumbuka vizuri kipindi nyuma adi wa waalimu wa shule za msingi walikuwa wanapelekwa kufindisha apo .....
we nimegundua nakuzidi iq, hvyo staendelea na wew. Unavyonifikiri sivyo mimi nakijua vizuri hicho chuo.
 
Haya mambo ya dini ni very sensitive.. Kama waliomba na kupewa vibali vya kujenga, kwanini baadae waje kubomolewa..? Na kama ni kweli imetamkwa agizo limetoka juu, huko juu ni kwa nani..? Kuna hoja hapa inabidi izungumzwe kwa ustawi wa taifa letu.. Watanzania wengi wana muingiliano wa undugu kwenye dini hizi, tunatakiwa kuwa makini..
Hapa ndo kuna utata kidogo,mfano wakienda mahakamani chuo kinaweza kuwalipa.
 
Haya mambo ya dini ni very sensitive.. Kama waliomba na kupewa vibali vya kujenga, kwanini baadae waje kubomolewa..? Na kama ni kweli imetamkwa agizo limetoka juu, huko juu ni kwa nani..? Kuna hoja hapa inabidi izungumzwe kwa ustawi wa taifa letu.. Watanzania wengi wana muingiliano wa undugu kwenye dini hizi, tunatakiwa kuwa makini..

Mi nafikiri madai kuwa msikiti umebomolewa si KWELI HATA KIDOGO! Hapa kilichofanyika ni kuzuia ujenzi wa msikiti katika ardhi iliyotengwa kwa ajili ya ELIMU
 
Mi nafikiri madai kuwa msikiti umebomolewa si KWELI HATA KIDOGO! Hapa kilichofanyika ni kuzuia ujenzi wa msikiti katika ardhi iliyotengwa kwa ajili ya ELIMU

Kama nimeelewa vizuri, hawajasema msikiti, bali ni uzio (ambao uliombewa kibali na kupewa kwa mujibu wa taarifa yao) ndio uliobomolewa.. Swali la kujiuliza, ni kweli walikuwa wamepewa kibali cha kujenga msikiti huo na uongozi wa chuo cha UDOM kwanza, kisha pia na Manispaa ya Dodoma..?
 
Haya mambo ya dini ni very sensitive.. Kama waliomba na kupewa vibali vya kujenga, kwanini baadae waje kubomolewa..? Na kama ni kweli imetamkwa agizo limetoka juu, huko juu ni kwa nani..? Kuna hoja hapa inabidi izungumzwe kwa ustawi wa taifa letu.. Watanzania wengi wana muingiliano wa undugu kwenye dini hizi, tunatakiwa kuwa makini..
Very sensitive. Mtu anaropoka tu kuwa yametoka juu
 
Hivi kilichovunjwa ni msikiti au uzio wa mabati kuzunguka eneo ambalo msikiti tarajiwa ungejengwa?
 
Haya mambo ya dini ni very sensitive.. Kama waliomba na kupewa vibali vya kujenga, kwanini baadae waje kubomolewa..? Na kama ni kweli imetamkwa agizo limetoka juu, huko juu ni kwa nani..? Kuna hoja hapa inabidi izungumzwe kwa ustawi wa taifa letu.. Watanzania wengi wana muingiliano wa undugu kwenye dini hizi, tunatakiwa kuwa makini..
Inasikitisha cha ajabu sheria zetu na mfumo wetu hauna uwezo wa kujua huko juu ni wapi na kuwa wajibisha hao waliotekeleza amri toka juu na hao wa juu wenyewe. Tukumbuke kwenye issue sensitive kama hii wewe ukipewa hiyo amri na usipo itekeleza ndio mwisho wako, hatuna njia ya kumpa mtu kama huyo protection.
Kumbuka wale jamaa waliofanya ujasusi kwenye ofisi ya democrats america waliposhikwa, mfumo ulitaka kujua kama Raisi anahusika na baada ya nishike nikushike Raisi Nixon ilibidi aachie ngani au awe impeached. Hapa kwetu hilo silioni.
Mwisho wa yote hili ni swala la utawala bora tuende tusipende. Hayo mengine yanatumia mapungufu haya kujipenyeza. Tatizo wengi tutaona udini etc hili tatizo la msingi hatulioni.
 
Nahisi kama muda na nyakati za kudeka zilishakwisha siku nyiiingi! Leo hii fuataeni sheria tu! Ukitaka kujenga nyumba ya ibada unahitaji ekari 20 za eneo la chuo? Unataka kujenga nini? Madrassa? Kama ni madrassa tafuta eneo la nje ya chuo, nunua na jenga. Huwezi kujenga chuo ndani ya chuo. Hilo siyo eneo la taaluma ya kidini.
 
Mi nafikiri madai kuwa msikiti umebomolewa si KWELI HATA KIDOGO! Hapa kilichofanyika ni kuzuia ujenzi wa msikiti katika ardhi iliyotengwa kwa ajili ya ELIMU
Unafikiri. Kwanini usitafute uhakika wa taarifa? Ukifikiri bila taarifa unaweza ukakosea ikiwa kweli msikiti umenjwa hata kama ujenzi haukukamilika
 
Nahisi kama muda na nyakati za kudeka zilishakwisha siku nyiiingi! Leo hii fuataeni sheria tu! Ukitaka kujenga nyumba ya ibada unahitaji ekari 20 za eneo la chuo? Unataka kujenga nini? Madrassa? Kama ni madrassa tafuta eneo la nje ya chuo, nunua na jenga. Huwezi kujenga chuo ndani ya chuo. JHilo siyo eneo la taaluma ya kidini.
Mkuu hilo eneo walipewa wao na wenzao wakristo kwa ajili ya matumizi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom