Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Ukiwa mkweli uwe mkweli. Unaowatolea mfano, wakatoliki hata siku moja hawafanyi makosa ya aina hiyo. Katoliki ni taasisi. Hujiridhisha kabla ya miradi yao. hata siku moja hawawindi kujenga mijini maana wanahitaji maeneo makubwa ili kuweka taasisi zao.unasema hivyo kwa kiburi kwa kuwa ni dini ya kiislaam..Hivi ingekuwa ukristo hasa catholic ungesema maneno hayo ya kiburi??..
Uislaam unapigwa sana vita! mkuu acha chuki dhidi ya uislaam..Kukosoa ni jambo jema ktk jamii lakin tumia lugha ya staha!
Ni vema tukaishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na tushirikiane pamoja na uwepo wa tofauti zetu za kidini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa la wenzetu kutaka kuwa exclusive. kujiona ni wakipekee. hata chuo kikuu wawe wa kipekee wakati ni sehemu ya taaluma. Kwa nini uhangaike kujenga msikiti ndani ya eneo la chuo? Yaweza kuwa ni sawa lakini njia hiyo iliyotumika ni sahihi? ekari 20!!