glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,025
- 1,385
Bandar ipo empty but mapoto yanapanda.
Kama bandari ilikuwa na makontena 50 na matano ndo yalikuwa yanalipa kodi na sasa kuna makontena 10 na yote yanalipa kodi kwanini makusanyo isiongezeke?