CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Nimekosa usingizi na umri wangu ni wa kukosa usingizi! Wewe nadhani ni kabinti kadogo ulale!Mi najisomea. Huwa nalala masaa 4 tu. We mwenyewe mbona uko macho. Ha ha haaa
Nimekosa usingizi na umri wangu ni wa kukosa usingizi! Wewe nadhani ni kabinti kadogo ulale!Mi najisomea. Huwa nalala masaa 4 tu. We mwenyewe mbona uko macho. Ha ha haaa
Sasa there comes our main problem"namna ya kuzitumia ili zilete matokeo chanya"
Na kweli kama ni mtu mmoja anapanga matumizi, kuna shida!tuache kujidanganya tunajua hizo hela zitatumika kama karatasi ya chooni
kipindi bandari ilikuwa full mapato yalikuwa kiduchu..sasa hivi bandari empty mapato yanapanda ujue wakwepa kodi mlikuwa mnaila nchiBandar ipo empty but mapoto yanapanda.
nimegundua kuna watu hawataki mapato yawe mengiwao ndio wenye mamlaka ya kukusanya kodi ulitaka niwaamini akina nani?? au ulitaka makusanyo yawe kidogo ili upate cha kupost?? basi wanekusanya billion 10 , haya shangilia!!
Mmmh hivi kweli jamaa ni nyumbu au?.Mkuu umesababisha nicheke kwa nguvu mpaka watu wamenishanga kwa jinsi ulivyomjibu kwa ufasaha huyo nyumbu.
Bandari kwa mwaka hawafikishi tr 1, na waziri kawapa target ya kufikisha tr 1 mwaka huu, kwa hiyo bil 500 kwa bandari pekee yake kwa mwezi ni uwongo hata bil 200 kwa nwezi haijawahi fika. Ninavyi jua hiyo bil 500 ni kwa mwaka 2016 unao ishia june 2016.Inawezekana na isiwezekane! Kwa style ya sasa hawawezi kuonyesha kuwa bandari imeshuka makusanyo kwa watumiaji wake kuhama.
Bandari kwa mwaka hawafikishi tr 1, na waziri kawapa target ya kufikisha tr 1 mwaka huu, kwa hiyo bil 500 kwa bandari pekee yake ni uwongo hata bil 200 haijawahi fikaHayo ni makusanyo ya bandarini tu sio ya jumla. Wastani wa mapato bandarini umepanda kutoka bilioni 200 hadi 300 kwa mwezi hadi kufikia bilioni 400 hadi 500 kwa mwezi.
Hayo ni makusanyo ya mwaka mzima 2015/2016 na sio ya mwezi june pekee yake ya bandari . Mwaka ujao 2016/2017 wanatakiwa kukusanya tr 1Wametaja vizuri tu. Wamevuka lengo la mwaka 2015/16 kwa asilimia mia moja pointi .......Halafu ukafuata ufafanuzi wa ongezeko la mapato bandarini ingawa mizigo imepungua. Tunawapongeza TRA.
Acha ujinga ,hautakusaidia chochote maishaniHabari wakuu,
Nilikua naangalia taarifa ya habari ITV usiku huu na msemaji wa TRA ni kama nimemsikia kwamba makusanyo waliokusanya mwezi June ni billion 500.
Kulikoni makusanyo ya kodi kushuka hivi mwezi June.
Au kwa mliosikia vizuri au data zaidi ya kiasi halisi kilichosemwa mnaweza mkatoa data za uhalisia kwa maana naona kama billion 500 ni kama makusanyo yameshuka by a half.
Yupo sawa lakini hayo ni mapato ya mwaka mzima 2015/2016. Na mwaka 2016/2017 wanatakiwa kukusanya tr 1Huu uwongo wa wazi mm wala siamini Bandari empty vile pato limekuwa hivo kulikoni
Habari wakuu,
Nilikua naangalia taarifa ya habari ITV usiku huu na msemaji wa TRA ni kama nimemsikia kwamba makusanyo waliokusanya mwezi June ni billion 500.
Kulikoni makusanyo ya kodi kushuka hivi mwezi June.
Au kwa mliosikia vizuri au data zaidi ya kiasi halisi kilichosemwa mnaweza mkatoa data za uhalisia kwa maana naona kama billion 500 ni kama makusanyo yameshuka by a half.