Makumira University kumekucha!

Serikali yetu iko wapi iliyounda bodi ya mikopo inayoshindwa kutekeleza majukumu yake ipaswavyo?

Mkuu kwa taarifa yako bodi ya mikopo inatolewa kafara wala haiusiki na matatizo hayo kwani wale ni watekelezaji kwa mujibu wa maagizo ya serikali, soma daily news ya leo.
 
WanaJF kwa taarifa zinazoendelea hapa mjini Arusha nikua polisi wa FFU wako mbioni kuelekea Usa River nje kidogo ya jiji la Arusha kutuliza ghasia zinazoendelea, wanafunzi wa chuo hiko wamegoma na wanadai raisi pamoja na waziri wake mkuu wajiuzulu! kwahiyo hapa kwa taarifa zinazoendelea ni kua wanadai mpaka kieleweke na wako tayari kufa kutetea masilahi yao jeshi la polisi kwakushirikiana na FFU ndio wako njiani. Nitaendelea kuwahabarisha nini kinaendela! Stay tune.
 
Eh! Ndo tumefikia hapa? Nadhani kuna taratibu za kudai mikopo, au kuandamana kuliko walichofanya! Huu usomi unaishia kwenye 'compound' ya chuo tu??.....Kumudu 'emotions' ni sehemu ya usomi!
 
Tanzania bila migomo haiwezekani. Ila FFU palipo na migomo hapakosi m2 kuuwawa kuweni makini wana Makumira kudai haki yenu.
 
nimeona FFU wamepita hapa kwa vingora kama kawaida yao kwenda kuwakongoli raia. Ipo siku ukombozi utapatikana tu.
 
hainabudi mkwere tumtoe kama ben Ali wa tunisia,kwani pesa zote wamefanyia kampeni ndio mana wameprint noti mpya sasa tusubirini mfumuko wa bei tu..........:kev:
 
Haki hailetwi, bali inadaiwa kwa nguvu!!!!!!! Bravo wanamakumira!
 
People's power mpaka kieleweke wa2 wale nini kama hawataki kuwapa fedha zao.
 
Wana jf nimepita hapa chuo kikuu Makumira wanafunziwa megoma,wamefunga barabara kuu ya Moshi Arusha kwa mawe,matofali na makorokoro mengine. Polisi wamefika wamewatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi za moto na wanafunzi wengi wamekamatwa. Kisa cha mgomo ni mikopo hawajapata.
Tutafika tu, matatizo ya mikopo nayo yanasubiri CC sisiem itoe maelekezo ....., sijui kama Bodi ya mikopo imelala au imeelekezwa kufanya hivyo ili utatuzi wa masuala hayo uanzie cc na kuufanya kuwa mtaji wa kisiasa. ...
 
nchi imekwisha hii. Mi cjui mambo itakuwaje!

nchii aiiishi sie tunatakiwa kuisha ili wajukuu zetu waishi kwa amani huuni muendeelezo tu wa kamradi kachafu cha kikwete cha kupitia mfuko wa kutoa mikopo vyuo vikuu atavuna alichopanda wabunge wamegeuzia kibao dowans jana ajaamini huko ubungo kingora kikaambiwa kipigwe baada ya dk kumi akiwa ameshaondoka alivyokasirika...tatizo ule mgao ni wa wachache sasa kuanza kumuaproach mbunge mpya nw ni shuguli ndefu nahisi hata mwakyembe hatodanganyika kwahili..kila la kheri nimeipenda wabunge wa ccm ci wote mabwege
 
Wana jf nimepita hapa chuo kikuu Makumira wanafunziwa megoma,wamefunga barabara kuu ya Moshi Arusha kwa mawe,matofali na makorokoro mengine. Polisi wamefika wamewatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi za moto na wanafunzi wengi wamekamatwa. Kisa cha mgomo ni mikopo hawajapata.

Hii serikali ya CCM haina masikio, Kesho utasikia Tambwe Hiza na Makamba wanasema CDM inachochea migomo vyuo vikuu, kumbe masikini hawataki kuwapa vijana pesa za kujikimu wanang'ang'ania kulipa kampuni hewa.
Tutafika jamani tusikae tamaa
 
Back
Top Bottom