Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 286
Hivi pale bodi ya mikopo kuna tatizo gani? Mbona wakurugenzi wa pale wanaota tu vitambi na kujenga magorofa huku waki drive magari luxury, hizi pesa za kufanyia haya matanuzi si ndo zingeenda kuwalipa wanafunzi posho za chakula na malazi?
Nyatega, Lubambula, Kisare na Bangu wako pale Bodi ya Mikopo kwa maslahi ya nani? Hii management ya bodi ya mikopo inahitaji kuondolewa yote na kuajiri management team nyingine itakayoweza kuendana na changamoto zilizopo.
Kwa nini migogoro ya vyuo vikuu kuhusu mikopo ya wanafunzi imekuwa mingi baada tu ya kuanzishwa kwa Loan Board mwaka 2005? Wakati ilitarajiwa kuanzishwa kwa taasisi maalumu kama hii ya kushughulikia mikopo ya wanafunzi kungeleta ufanisi na tija zaidi na hivyo kuondokana na migogoro ya mara kwa mara.
Management ya Loan Board ni sifuri kabisa, sijui hata Mh. Rais anawalea kwa nini!!!!
Nyatega, Lubambula, Kisare na Bangu wako pale Bodi ya Mikopo kwa maslahi ya nani? Hii management ya bodi ya mikopo inahitaji kuondolewa yote na kuajiri management team nyingine itakayoweza kuendana na changamoto zilizopo.
Kwa nini migogoro ya vyuo vikuu kuhusu mikopo ya wanafunzi imekuwa mingi baada tu ya kuanzishwa kwa Loan Board mwaka 2005? Wakati ilitarajiwa kuanzishwa kwa taasisi maalumu kama hii ya kushughulikia mikopo ya wanafunzi kungeleta ufanisi na tija zaidi na hivyo kuondokana na migogoro ya mara kwa mara.
Management ya Loan Board ni sifuri kabisa, sijui hata Mh. Rais anawalea kwa nini!!!!